okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,641
Habarini,
Kuna fununu nimesikia kuwa eti mengi anajenga hoteli ya kitalii kule Machame , je kuna ukweli wowote juu ya habari hizi? na sisi kama member wa jukwaa la biashara na uchumi ni fursa zipi tunaweza kuzipata kutokana na ujenzi wa hiyo hoteli especially kwa sisi tunaokaa kilimanjaro
Nakaribisha mawazo yenu warumi
Kuna fununu nimesikia kuwa eti mengi anajenga hoteli ya kitalii kule Machame , je kuna ukweli wowote juu ya habari hizi? na sisi kama member wa jukwaa la biashara na uchumi ni fursa zipi tunaweza kuzipata kutokana na ujenzi wa hiyo hoteli especially kwa sisi tunaokaa kilimanjaro
Nakaribisha mawazo yenu warumi
Last edited by a moderator: