E eqariu Member Joined Sep 23, 2014 Posts 20 Reaction score 2 Sep 26, 2014 #1 [h=1]New US$ 6m hotel upcoming in Tanzania[/h]
kilwakivinje JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 6,184 Reaction score 9,407 Sep 26, 2014 #2 patakuwa sana mtwara kwa sasa ngoja tuone
E eqariu Member Joined Sep 23, 2014 Posts 20 Reaction score 2 Sep 30, 2014 Thread starter #3 Mtwara yapaa, inaonekana
maishapopote JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 3,408 Reaction score 6,094 Oct 31, 2014 #4 Mbona kama naura springs? Arusha
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Oct 31, 2014 #5 Ahsante Kikwete, mambo yote ni Ntwara kwa sasa. Asiyeziona fursa na anabaki kulalama tu humu JF huyo hatoziona fursa maisha yake yote.
Ahsante Kikwete, mambo yote ni Ntwara kwa sasa. Asiyeziona fursa na anabaki kulalama tu humu JF huyo hatoziona fursa maisha yake yote.
spencer JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 3,599 Reaction score 3,226 Dec 14, 2014 #6 maishapopote said: Mbona kama naura springs? Arusha Click to expand... Ni kweli kabisa hiyo ni Naura Springs-Iko Mataa ya Sanawari Arusha mkuu
maishapopote said: Mbona kama naura springs? Arusha Click to expand... Ni kweli kabisa hiyo ni Naura Springs-Iko Mataa ya Sanawari Arusha mkuu
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,422 Reaction score 7,350 Dec 18, 2014 #7 FaizaFoxy said: Ahsante Kikwete, mambo yote ni Ntwara kwa sasa. Asiyeziona fursa na anabaki kulalama tu humu JF huyo hatoziona fursa maisha yake yote. Click to expand... sio Ntwara sahihi Mtwara usipende kutumia vibaya jina la KIKWETE ili uonekane unamahaba naye,JK ameingiaje katika hili,ukimtaja taja hovyo kila jambo unaloona ni mafanikio kwa sasa,basi ukubali kumtaja kila baya linatokea katika kipindi chake
FaizaFoxy said: Ahsante Kikwete, mambo yote ni Ntwara kwa sasa. Asiyeziona fursa na anabaki kulalama tu humu JF huyo hatoziona fursa maisha yake yote. Click to expand... sio Ntwara sahihi Mtwara usipende kutumia vibaya jina la KIKWETE ili uonekane unamahaba naye,JK ameingiaje katika hili,ukimtaja taja hovyo kila jambo unaloona ni mafanikio kwa sasa,basi ukubali kumtaja kila baya linatokea katika kipindi chake
Pelekaroho JF-Expert Member Joined Sep 15, 2010 Posts 1,601 Reaction score 375 Feb 15, 2015 #8 Usiamini kila unachosikia kwani vingi huwa ni fununu tu.
Y YUAJA. Member Joined Feb 18, 2015 Posts 49 Reaction score 12 Feb 21, 2015 #9 Picha hii ni Naura Spring Hotel iliyoko Arusha