Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Hoteli ya The Nest iliyoko Paje Zanzibar yawaka moto, na kwa mujibu wa mashuuda ni kuwa moto huo umesambaa kwa hoteli ya jirani ya inayoitwa Maisha Matamu na unaelekea kusambaa ya tatu!
Zimamoto wamechelewa kufika huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani.
Zimamoto wamechelewa kufika huku chanzo cha moto huo kikiwa hakijulikani.