kuwa hot kwa huyu mrembo kumetusaidia nini kiuchumi? Awezi hata kuvaa sura ya kazi? Mfumuko wa bei aliachiwa single digit na Mkapa sasa hivi hatujui tunakoelekea, Amani inayumba, uongozi hauna mwelekeo. Kudadadeki.
this is non-sense ina faida gani na nchi yetu. Uzuri wake au ubaya hautusaidiii kitu kwetu kama hakuna cha maana atakachokifanya. Nashauri hii mada ipelekwe katika Celebrity Forum