Mfano mzuri Dewji. sijawahi kumwona akichangia hoja wala kuuliza swali la msingi kwa kipindi chote alichokuwa bungeni. kama kuna mtu alimwona na aseme lini au katika hoja gani.
tatizo ni sisi wananchi ndio tunawanyima support hawa majamaa, na kama raia tungekuwa tunaonyesha uchungu wetu kwa vitendo nadhani hii nchi ingekunyooka