Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
Kwa wajukuu zangu wapenzi, wadogo zangu, kaka zangu, dada zangu na wadau wote wa JF,
Babu anawatikia heri ya mwaka mpya wa 2011.
Kwa upande wa babu mwaka huu umekuwa wa mafanikio makubwa sana ingawa wengi wetu itawachukua miaka mingi kuyaona. Hata nikipumzika kabla ya kuiona 2011, bado nitaenda na amani walau kidogo, kwani nitakuwa nimewaacha wajukuu zangu na ndugu zangu wote Wadanganyika wakiwa tayari wametokwa na nyamulunda waliyokula kwa miaka 49 sasa.
Babu hana zawadi ya kuwapa isipokuwa anawashukuru nyoote kwa michango yenu iliyotufikisha hapa tulipo.
Naomba kuwashirikisha haya maneno ya busara ya ndugu yetu PakaJimmy,
Ni imani yangu thabiti kabisa kwamba baada ya kile kichotokea 31 Oct 2010, Tanzania hatakaa iwe ile tuliyoizoea. Hata mafisadi wote wanalijua hili.
Nawatakia kila la heri. Mwaka mpya wa 2011 uwe na amani kwenu, mpate furaha na raha ya kutosha.
Babu DC.
Babu anawatikia heri ya mwaka mpya wa 2011.
Kwa upande wa babu mwaka huu umekuwa wa mafanikio makubwa sana ingawa wengi wetu itawachukua miaka mingi kuyaona. Hata nikipumzika kabla ya kuiona 2011, bado nitaenda na amani walau kidogo, kwani nitakuwa nimewaacha wajukuu zangu na ndugu zangu wote Wadanganyika wakiwa tayari wametokwa na nyamulunda waliyokula kwa miaka 49 sasa.
Babu hana zawadi ya kuwapa isipokuwa anawashukuru nyoote kwa michango yenu iliyotufikisha hapa tulipo.
Naomba kuwashirikisha haya maneno ya busara ya ndugu yetu PakaJimmy,
Nia ya msingi ya JF si pahala pa kujifichaficha kama kichuguu cha NGUCHIRO!..Ni mahala pa kusocialize, kubadilishana mawazo, kutoa hoja za kisomi na kitaaluma za kusaidia maendeleo ya nchi na kutoa majawabu ya matatizo mbali mbali ya kijamii.
Ni imani yangu thabiti kabisa kwamba baada ya kile kichotokea 31 Oct 2010, Tanzania hatakaa iwe ile tuliyoizoea. Hata mafisadi wote wanalijua hili.
Nawatakia kila la heri. Mwaka mpya wa 2011 uwe na amani kwenu, mpate furaha na raha ya kutosha.
Babu DC.