Mlifanya MaandamanoWatanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.
Mlifanya Maandamano
mkaua uchumj
mkaua watoto
Wakenya wasio na Hatia wamepoteza maisha yao
leo Raila na Uhuru wanakunywa soda
Nini kimebadilika
mtaweza rudisha Nafsi zile!!
Mambo mengine msipende kuiga kipumbavu hayana Mantiki kwa wakati huo
Kama unategemea Maandamano Tanzania hilo futa
Kumbuka kwamba nguvu za kiti cha rais zilisambazwa kwa viongozi wengine na pia mihimili tofauti. Chini ya katiba mpya ya Kenya, baada ya mchakato wa muda mrefu wa kuandika katiba upya. Hayo yote ili kujikinga dhidi ya nafsi zetu sisi wenyewe. Nguvu za kuamulia binadamu wengine watakavoishi zina ulevi wake wa kiaina. Kama unasema rais si malaika basi inamaanisha kwamba maamuzi yake si ya mwisho na lazima awe tayari kusikiza maoni ya wengine.Me sijasema Rais ni alien ila lazima kuwe na tofauti kati ya Rais na cartel goon
Wewe huwa unakurupuka kutoka kwenye shimo gani, maandamano huleta heshima, husababisha watu wanaskizwa, husababisha nchi inasonga mbele badala ya kuendeshwa kama maboya, husaidia kumfahamisha rais kwamba nchi sio ya babake wala mamake bali ya raia wote, kwamba hana uwezo wa kufanya atakacho muda autakao sikua aitakayo.
Kenya imepiga hatua sana kwa ajili ya maandamano, binafsi zamani nilikua nahusika sana, na nikipata fursa lazima niingie barabarani na kusema yangu ya moyoni tena nikiimba.
Sasa likija kwa Tanzania, kwanza wenyewe mpo waoga, uwezo huo hamuna, hulka yenu huwa ya kiuwoga uwoga na ndio maana haya maandamano yanaendeshwa na mwanamke aliye Ulaya, maana mijitu hapo hamuwezi hata kuongea. Pili, nyie ni wazembe na wavivu sana kiasi mkiandamana mnairudisha nchi nyuma na ndio maana naunga kauli za rais wenu mfanye kazi na kuacha kuiga Kenya maana sisi hata tukiandamana, tunapiga kazi nchi inaendelea na kuongoza kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Tarehe 26 ndio utajua kuwa kufanya kazi na njaa haifai.Too much democracy too much dumbing, there should reach a state where there's no difference between the president and normal Street hooligan because anything hooligans could plan and confronting the president, he doesn't have choice more than to agree with them, nope that's not Tanzania
JPM explained clearly this is no time for politics people have to work until 2020
Kwa hiyo maandamano yote hayo na kuua watu na uharibifu wa mali pia kuapishwa kwa RAO na upotevu mkubwa wa pesa kupitia uchaguzi matokeo yake ni Uhuru Kenyatta na Rao kunywa chai ikulu.
Wakenya mnahitaji matibabu ya kiungo cha kufikiri.
Muda mwingine huwa nakuona Boya sana kichwaniWewe huwa unakurupuka kutoka kwenye shimo gani, maandamano huleta heshima, husababisha watu wanaskizwa, husababisha nchi inasonga mbele badala ya kuendeshwa kama maboya, husaidia kumfahamisha rais kwamba nchi sio ya babake wala mamake bali ya raia wote, kwamba hana uwezo wa kufanya atakacho muda autakao sikua aitakayo.
Kenya imepiga hatua sana kwa ajili ya maandamano, binafsi zamani nilikua nahusika sana, na nikipata fursa lazima niingie barabarani na kusema yangu ya moyoni tena nikiimba.
Sasa likija kwa Tanzania, kwanza wenyewe mpo waoga, uwezo huo hamuna, hulka yenu huwa ya kiuwoga uwoga na ndio maana haya maandamano yanaendeshwa na mwanamke aliye Ulaya, maana mijitu hapo hamuwezi hata kuongea. Pili, nyie ni wazembe na wavivu sana kiasi mkiandamana mnairudisha nchi nyuma na ndio maana naunga kauli za rais wenu mfanye kazi na kuacha kuiga Kenya maana sisi hata tukiandamana, tunapiga kazi nchi inaendelea na kuongoza kiuchumi, kielimu na kila kitu.
Ujaribu utaishia Jf humu humuTarehe 26 ndio utajua kuwa kufanya kazi na njaa haifai.
Au kufanya kazi isio na faida,haifai.
Maandamano hadi kieleweke
Kuna baadhi ya wakenya Akili zao Wanajua wenyewe nimungu yupi aliwapatia!!Kwa hiyo maandamano yote hayo na kuua watu na uharibifu wa mali pia kuapishwa kwa RAO na upotevu mkubwa wa pesa kupitia uchaguzi matokeo yake ni Uhuru Kenyatta na Rao kunywa chai ikulu.
Wakenya mnahitaji matibabu ya kiungo cha kufikiri.
Muda mwingine huwa nakuona Boya sana kichwani
Umejaa ushabiki usio na kichwa wala miguu
Kati ya Taz na Kenya
ni nchi gn wananchi wake wanakufa na njaa miaka nenda rudi!
Hayo maandamano yamewasidia nini wakenya!
Mtu anashindia maziwa ya mbwa unakuja kubwabwaja utumbo!!
Wananchi wako hali mbaya miaka nenda rudi
hawana ajira, Ulinzi hovyo
uhalifu umetamalaki kona yote ya kenya
hayo maandamano yameleta afueni au msaada upi kwa Raia wa kenya!!
Endeleeni kuiga ujinga
Kikao cha Raila na Uhuru sijafuatilia sana maana Kenya ni zaidi ya hao wawili, kumbuka wameikuta Kenya ikiwa ilivyo na wataiacha, kuna jinsi tulivyo, kuna jinsi huwa tunaiendesha nchi yetu. Mimi nakuambia huyo Magufuli akipewa awaongoze Wakenya, hata siku moja hivi hatofaulu, maana sisi likija suala la kudai haki huwa hatuna reverse gear, sio kama nyie mdebwedo ndio zenu.
JPM is doing fine, hajafika state ambayo watu wanasema, Mambo ambayo JPM atafanya Tanzania ni maajabu na amefukarisha wengi sana hasa ukizingatia Tanzania ilikua the most rotten country in the world, corruption was at the highest pick to the extent fisadi ndio mjanja and feel proud of being fisadi publicly
Civil servants 89% walikua mafisadi kama ni daktari afisadi dawa za wagonjwa, mwalimu atauza examination papers before examination time, accountant ndio usiongee, land officers watafake documents kudhulumu wanyonge, yaani kila nafasi was rotten jamaa saivi kuleta systems hakuna kapokea cash kwenye government transactions ni electronically na maximum monitoring kwenye government assets.
Hiyo ni grassroots huku juu ndio usiongee, sasa usitegemee atapendwa.
Watanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.
Umempa kaka,akikujibu ni kichaaFunny, you forget that Magufuli has been part of the rotten system for 20+ years as a senior public servant and member of the Cabinet. And that Magufuli himself is very corrupt and a crook just like other CCM crooks: Kikwete, Lowassa, Mkapa, Chenge, Ngeleja etc. All of the ufisadi you talk, CCM is to blame. And the same CCM is still in power.
Ufisadi bado upo sana, ila sasa upo controlled na Magufuli and his posse. Sasa Magufuli ndiyo exchequer, mpanga bajeti, muidhinishaji wa matumizi ya pesa za umma n.k. Halafu fools like you believe he is anti-corruption.
Ni kweli Magufuli anafanya maajabu ambayo hatujawahi kuyashuhudia Tanzania, kwa sababu he is so vile, sadist, and a wannable dictator. Hatujawahi kushuhudia a top polician's assassination attempt inside a secured government housing estate! Hatujawahi kuona maiti za watu zikiokotwa pwani kama masalia ya matumbawe. Yes, chaguzi zetu siku zote zipo rigged, but hatujawahi kushuhudia chaguzi zikiambatana na extreme and violent use of state policing machineries kama sasa. On top of these, uchumi unakwenda alijojo, watu wanaogopa, watu hawana furaha, wafanyakazi wanafukuzwa kama panya, n.k.
Ever asked yourself if Magufuli has good intentions with Tanzania, kwanini anafanya mambo gizani? Kwanini kajitoa kwenye OGP? Kwanini hataki sisi walipa kodi na wenye nchi kuwa na taarifa zote zinazohusu pesa za umma, na matumizi yake?
If this sorry **s of a president is genuine let him ammend the constitution to allow for incumbent and retired presidents to be court sanctioned for mistakes that they did before and when in Office.
Mkuu kwa hili tuonee huruma tuWatanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.
Nnachompendea Magufuli ni MTU Wa Action.. Kama kitu ni Sahihi wala hakusikilizi anaenda Jino kwa Jino.. That's why he has succeeded for the last two years... We're making big steps kwasababu ya yeye kuwa mkali..Watanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.
Watanzania wamejitutumua wanataka kuandamana kama Kenya, sasa Magufuli ametoa mikwara balaa na kuwa mkali hadi hatari. Kwa jinsi ninajijua kwamba huwa sina uvumilivu, binafsi naona sawa, naona kama kuna cha kuiga hapa kwa marais wa Afrika.