Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katika hotuba aliyoitoa Rais nilishindwa kujua kwanini kila kitu alikuwa akijiuliza eti kama nikweli? kama taarifa zote akizopewa hakuwa na uhakika nazo!?
Sasa umeongea nini hapo umepoteza mda nakujaza sever yawatu -----!Tatizo lako sio kwamba hujamuelewa Kikwete ila ni kwamba HUJUI kabisa jinsi Rais na taasisi ya presidency inavyofanya shughuli zake. Kajifunze kwanza basics halafu utaelewa vizuri.
Nyinyi ndio mnataka kuanza kujifunza kuongeza speed ya gari kabla hata hamjajifunza jinsi ya kuwasha gari!
I was surprised kwa kweli,sina kama presida mwelewe can address such a thingKila hoja alikuwa akisema ameambiwa.....ameambiwa....hakuwa na uhakika na alichokuwa anazungumza ni aibu kuwa na rais asiye na uwezo wa kuchanganya na zake.