Hivi wale watoto wa Tabora walikufa wangapi? Hatua gani zimechukuliwa mpaka sasa? Poleni wafiwa na wahanga wa mbagala
Asha
hata punda kuna siku hugoma!
SSSSSSSSShhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh mnajadili mambo ya usalama wa taifa hapa? hamjui kuwa ni kosa?
Hata kama kuna waliokufa au kualibiwa mali zao, hili wataliita ni suala la usalama wa taifa, hawatatoa taarifa ya kweli na hatutaruhusiwa kulijadili. Game over
Ni kweli na sasa saa ya Punda kugoma iko mbioni muda si mrefu
Wishfull thinking! Ni nani unayemdhania anaweza kuwahamasisha punda wakakubali kugoma?