Emmanuel Akim
Member
- Jun 9, 2017
- 71
- 16
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu toa bei ya ukweli ya hii nyumba. Bei uliyoandika kwenye kichwa cha bandiko sidhani ni sahihi.
sikufundishi kazi mkuu......nyingine huwa na bei hizo na kila kitu ndaniAina kitu ndani mkuu bei ndio iyo so sidhani kama tunafundishana kazi mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu lkn kwa hali ya sasa naona nyumba kibao huko maeneo ya mbezi yanamabango TO BE RENT
Sasa ivi tutaishia tu kula wali kwa picha ya samaki[emoji23]bonge ya nyumba aiseee ,. mkuu inakila kitu ndani?
kabisa mkuuSasa ivi tutaishia tu kula wali kwa picha ya samaki[emoji23]
Sent from Calculator Phone vesion007