wewe ni mbunge au diwani au nani????????unataka naye akale hela ya wapiga kura wako ?Nataka anifanyie kazi za nyumbani bana! Nipo serious, ninajiheshimu na ninaheshimiwa na wapiga kura wangu, so nahitaji house girl kwa ajili ya kusaidia familia yangu kazi ndogo ndogo
Nataka anifanyie kazi za nyumbani bana! Nipo serious, ninajiheshimu na ninaheshimiwa na wapiga kura wangu, so nahitaji house girl kwa ajili ya kusaidia familia yangu kazi ndogo ndogo
wewe ni ke/me maana dunia haiaminiki nikimwambia mzazi wa mtu kuna baba anataka h/g atanitoa mbio nahisi hapa sio mahala pake zungumza vizuri na wapiga kura wako watakutaftia kama ukifika mtaani kwenu unapandisha tinted za gari imekula kwako then kama upo dar haina h/g utaletewa mabaamed uliza pia kijijini kwenu au watu unaowafahamu mikoa hii Iringa,singida ,songea,kigomaWapiga kura hawapatikani kwenye ubunge na udiwani tu, kwani Yanga wamepigia kura Manji kuwa diwani? Tusitoke nje ya mada, I need a h/g
Basi bwana, ngoja nisubiri wengine watasemaje!wewe ni ke/me maana dunia haiaminiki nikimwambia mzazi wa mtu kuna baba anataka h/g atanitoa mbio nahisi hapa sio mahala pake zungumza vizuri na wapiga kura wako watakutaftia kama ukifika mtaani kwenu unapandisha tinted za gari imekula kwako then kama upo dar haina h/g utaletewa mabaamed uliza pia kijijini kwenu au watu unaowafahamu mikoa hii Iringa,singida ,songea,kigoma
wewe ni ke/me maana dunia haiaminiki nikimwambia mzazi wa mtu kuna baba anataka h/g atanitoa mbio nahisi hapa sio mahala pake zungumza vizuri na wapiga kura wako watakutaftia kama ukifika mtaani kwenu unapandisha tinted za gari imekula kwako then kama upo dar haina h/g utaletewa mabaamed uliza pia kijijini kwenu au watu unaowafahamu mikoa hii Iringa,singida ,songea,kigoma[/QUt Jamani c kuna binti nilimtangaziaga tangaz anataka kaz za aina hiyo au nd tangaz mlipuuzia mkajua utani wa kutoka kanda ya kati maana kwa dar ndugu utaletew kit cha ajab embu check hiy namba kama jembe utalipata 0saba1sita 07nne20tatu kila la heri.
wewe ni mbunge au diwani au nani????????unataka naye akale hela ya wapiga kura wako ?
wewe ni ke/me maana dunia haiaminiki nikimwambia mzazi wa mtu kuna baba anataka h/g atanitoa mbio nahisi hapa sio mahala pake zungumza vizuri na wapiga kura wako watakutaftia kama ukifika mtaani kwenu unapandisha tinted za gari imekula kwako then kama upo dar haina h/g utaletewa mabaamed uliza pia kijijini kwenu au watu unaowafahamu mikoa hii Iringa,singida ,songea,kigoma
uliipenda ile nitairudisha sasa asante Bandabichi fo your noticeMrembo umebadilisha AVATAR yako kwa nini?
uliipenda ile nitairudisha sasa asante Bandabichi fo your notice