Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
amrudishe tu porini kwao hivi hv, aaaaaaaaaaaaaah wapi mi lazima nimtie disiplini aisee....legally or illegally!!!
Legally : Ampeleke Police. Ukimpeleke kwao ataendelea "kuua watoto"
Ni kweli na Waifu ndo kawasha moto tayari huko home, nakubali kuwa nilifanya kosa kwani mwanzoni sikumwamini Waifu, nilimwona kama vile anamsoingizia lakini kila siku mtoto anazidi kuwa karibu na huyu binti ( Limama jitu zima)kuogeshwa aogeshwe nae, wale wote, dukanoi wote, kulala wote, kila kitu wote.... Kweli yamenikuta, naenda kumuondoa kwa amani tu, sina haja ya kumfanya lolote....
wewe bana, ngoja nifunge hili bakuli langu..............eti umsikilize waifu si ndo kakuletea kesi.........wtf????Nashaishika kumpeleka polisi, ngoja nimsikilize waifu kwanza amefikia wapi, si ndio kaniletea kesi...
G ndugu???? naye atakufanya uishie ICU kama yale ya wifi mtu!!!!
hahaaa mama yangu mdogo yy alipata mama mtu mzima, siku ya siku akakuta anamnyonyeshea mapacha wake lol!!! she was about to collapse.
Hii maneno ni ngumu sana bana....
what do you mean kumuonda kwa amani??????????? yaani you will jus let her go hivo tuuu????
afu na nyie kumbe mliona dalili kabisa za mambo ya kishenzi, tena wewe ukapuuzia, kwa nn lakini?? haya ni maisha ya mtoto wenu jamani.........anything to do with life dont take it lightly jamani. ona sasa
We ungekuwa mtu wa HR waajiriwa wangepata habari yao!maofisi yafungue day care or else kazi zitatushinda akina mama
ila hawa housegirls kama hawajafunzwa adabu wataendelea hivi hivi hawa...............(bila ya shaka na sisi waajiri tunatakiwa tuwe tunawapa haki zao zote)