Housegirl katembea na mwanangu

uuuwwiii...nadhani ningezirai, jamani jamani! cjui ningemfanya nini huyo hg aisee, kweli cjui.
 
uuuwwiii...nadhani ningezirai, jamani jamani! cjui ningemfanya nini huyo hg aisee, kweli cjui.

hahaaa mwenzio eti anamsikilizia waifu maana ndo kampelekea kesi?????
 


kwani akiletwa na mamkwe ndio inakuwaje?...mbona mtampa njia za kutorka kabla hajapewa adhabu yake? mcjeniambia bado mnamuachia mtto na nyie mpo kwenye mihangaiko au mama yupo home kwa sasa?
 
Asprin bora nikasomee hayo mambo ya HR au nishachelewa?
 
Pole huyo ni MBAKAJI ulitakiwa umpeleke kwenye vyombo vya dola mara moja....maika 6!!!!?
 
Muondoe haraka huyo HG, na pia tafuta wataalamu wa saikolojia wakae na huyo mwanao maana atakuwa ameshaathirika kisaikolojia. Kubwa zaidi mkuu kampime afya mwanao!
 
hahaaa mwenzio eti anamsikilizia waifu maana ndo kampelekea kesi?????

naomba licnikute mana cjui kwa kweli yaani hapana, wakati mwingine hawa wadada wanatufanya vibaya sana.
 
bht muonee huruma mwenzio amechanganyikiwa .............na bora kuchanganyikiwa hivi kuliko akenda kumpiga housegirl akajitafutia murder case saa hizi!


Elli kaa chini tuliza kichwa kwanza ndio uelekee home..................jazba zitazidi kufuja. na no matter what usichukue uamuzi mbele ya mtoto. itazidi kumchanganya tu
 
Du pole sana mzee, ila naona bora wewe mimi ni takribani miezi 2 nilimwokoa mwanangu kwenye kifo. Tulimpata HG wa kwanza mnyaturu alikuja mwembamba sana amemaliza std 7 baada ya mwezi akafumuka kweli kweli alinenepa mpaka tukahsi alikuja na ujauzito wife akaenda kumpima akakuta hana. Kutokana kuongezeeka uzito kwa kasi akawa anasinzia hata mkiwa mnakula mezania analala hapo hapo. Mke wang na mimi tukaanza suprise visit nyumbani tunakuta mtoto analia kitandani na mikojo yeye amelala kwenye sakafu. Mara kadhaa hali ilijirudia tukamrudisha kwao.

Tukalete mpya sasa huyu ndio balaa bora hata yule aliyeondoka huyu ndio alikuwa amuue my little nguli. Kumbe alikuja anamajini japo siamini hayo madudu ilinibidi niamini. Siku hiyo nilikuwa niende kazini ila nilijisikia vibaya nikasema ngoja nianzie hospital then job. Wakati nataka kuondoka nikampigia wife akaniambia mcheki kwanza mtoto kama amepata maziwa na amembadilisha nguo. Kwenda nikamkuta kweli kafanya kambeba mtoto ila anatetemeka sana kwa mithili ya kuanguka nikampokonya mtoto nikamweka kitandani na yeye akaanguka akaanza kupiga kelele na kuvunja vitu vya ndani ikiwemo kunyanyua vitu vizito kama thermos na kunipiga nayo mimi na mtoto. Nilikimbia nje nikamfungia chumbani tukaita majirani tukamshika kama watu 6 hivi tukamfunga tukampeleka hospital muhumbili wakasema yuko okey labda tujaribu kumpeleke kwenye mahubiri itamsaidia tukarudi nyumbani tukampata jirani akamwombea baadae akampeleka kwa walokole kuombewa nikaenda kumchukua jioni mzima kabisa.

Tukampigia mzazi wake akatuambia nilisahau kuwaambia mwanagu anasumbuliwa na majini maruhani muda mrefu tukampakia siku hiyo hiyo tukamrudisha singida na mke wangu kaacha kazi anamwangalia mtoto. Tumechokaa na ma-HG. Siku ile kama niingeenda kazini Mungu nashukuru alipisha mbali si ajabu angemponda mwanetu na vitu vizito kichwani na kumpatia madhara makubwa hata kifo.
 
Muondoe haraka huyo HG, na pia tafuta wataalamu wa saikolojia wakae na huyo mwanao maana atakuwa ameshaathirika kisaikolojia. Kubwa zaidi mkuu kampime afya mwanao!

yaani hapo katavi....hapo hapo aisee hapana.
 

nenda kampeleke polis huko akajitambue vizuri, acha kusema unamsikilizia waifu, she needs you and your support.........mawazo ndo haya tushakupa, mpeleke kwa dola huko. sisi wengine tusingakuwa pengine hata na simile wala subira!! tungefanya mamabo kinyume na sheria kwa hamaki ikatugharimu baadaye, wewe kama umeweza kuhimili, thats the way forward...........usimwache aende tu sio suluhisho.
 


Nguli poleni sana jamani, haauuwii, mbona kuna maajabu hivi jamani.
 
EEEEh hommie Nguli pole aisee!!! Mungu kweli mkubwa na ana makusudi yake kwa kila litokealo. sasa usingejisikia vibaya ukadelay delay hm saa hz si tunatoa rambi rambi aiseee???

eti alishau kuwaambia jamani watu mmmh!!!!
 
Nenda kwenye maombi na muone mshauri nasaha I do reccomend Chris Mauki, he is blessed with counselling gift. Poleni sana
 
HEHEHEHE!house geliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!aah!
 
amrudishe tu porini kwao hivi hv, aaaaaaaaaaaaaah wapi mi lazima nimtie disiplini aisee....legally or illegally!!!

Tena na mtoto akapimwe na yeye pia usijekuta amemwambukiza ugonjwa. Na kwani si ni kubaka huku ama wanaume ndo wanaobaka tu? Sheria itumike hapa.
 
nguli .............unaweza kujikuta unamchapa vibao huyo mama yake 'aliyesahau' kuwaambia kuwa mwanawe ana 'mashetani' agggrrr waafrika bwana! hatujui maana ya kazi hata kidogo
 
yaani hapo katavi....hapo hapo aisee hapana.
Ni muhimu kumpima afya mtoto, labda kaambukizwa haya magonjwa ya zinaa kama gono na mengineyo na zaidi hili gonjwa linalosemekana eti limepatiwa dawa!
 
Pole sna inabidi kufungua day care bongo kwa kweli tunakoenda ni kubaya sna i wish ninngekuwa na mtaji wa kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…