uuuwwiii...nadhani ningezirai, jamani jamani! cjui ningemfanya nini huyo hg aisee, kweli cjui.
Mpwa BHT nimekulewa, naogopa kufanya mambo kwa hasira, nimeuimia sana, sina kawaida ya kuongea mambo yangu publicly hivyo ujue yamenikuta, sio kuwa nilipuuzia ila nilitaka niwe na a point to start with, nimeshapata... unajua aliletwa na Ma'mkwe. Kuna mazingira magumu yaliyokuwa yananiface, na ndo imeingia SMS kali asa ivi hapa toka kwa waifu, anataka ajue msimamo wangu, nimemwambia atangulie kwa mjumbe, Mpwa, sio kuwa napuuzia ushauri wenu, asanteni by the way!
hahaaa mwenzio eti anamsikilizia waifu maana ndo kampelekea kesi?????
Muondoe haraka huyo HG, na pia tafuta wataalamu wa saikolojia wakae na huyo mwanao maana atakuwa ameshaathirika kisaikolojia. Kubwa zaidi mkuu kampime afya mwanao!
Mpwa BHT nimekulewa, naogopa kufanya mambo kwa hasira, nimeuimia sana, sina kawaida ya kuongea mambo yangu publicly hivyo ujue yamenikuta, sio kuwa nilipuuzia ila nilitaka niwe na a point to start with, nimeshapata... unajua aliletwa na Ma'mkwe. Kuna mazingira magumu yaliyokuwa yananiface, na ndo imeingia SMS kali asa ivi hapa toka kwa waifu, anataka ajue msimamo wangu, nimemwambia atangulie kwa mjumbe, Mpwa, sio kuwa napuuzia ushauri wenu, asanteni by the way!
Kama uko desperate......muda bado sanaaaaaa! Elimu haina mwisho asee!Asprin bora nikasomee hayo mambo ya HR au nishachelewa?
Du pole sana mzee, ila naona bora wewe mimi ni takribani miezi 2 nilimwokoa mwanangu kwenye kifo. Tulimpata HG wa kwanza mnyaturu alikuja mwembamba sana amemaliza std 7 baada ya mwezi akafumuka kweli kweli alinenepa mpaka tukahsi alikuja na ujauzito wife akaenda kumpima akakuta hana. Kutokana kuongezeeka uzito kwa kasi akawa anasinzia hata mkiwa mnakula mezania analala hapo hapo. Mke wang na mimi tukaanza suprise visit nyumbani tunakuta mtoto analia kitandani na mikojo yeye amelala kwenye sakafu. Mara kadhaa hali ilijirudia tukamrudisha kwao.
Tukalete mpya sasa huyu ndio balaa bora hata yule aliyeondoka huyu ndio alikuwa amuue my little nguli. Kumbe alikuja anamajini japo siamini hayo madudu ilinibidi niamini. Siku hiyo nilikuwa niende kazini ila nilijisikia vibaya nikasema ngoja nianzie hospital then job. Wakati nataka kuondoka nikampigia wife akaniambia mcheki kwanza mtoto kama amepata maziwa na amembadilisha nguo. Kwenda nikamkuta kweli kafanya kambeba mtoto ila anatetemeka sana kwa mithili ya kuanguka nikampokonya mtoto nikamweka kitandani na yeye akaanguka akaanza kupiga kelele na kuvunja vitu vya ndani ikiwemo kunyanyua vitu vizito kama thermos na kunipiga nayo mimi na mtoto. Nilikimbia nje nikamfungia chumbani tukaita majirani tukamshika kama watu 6 hivi tukamfunga tukampeleka hospital muhumbili wakasema yuko okey labda tujaribu kumpeleke kwenye mahubiri itamsaidia tukarudi nyumbani tukampata jirani akamwombea baadae akampeleka kwa walokole kuombewa nikaenda kumchukua jioni mzima kabisa.
Tukampigia mzazi wake akatuambia nilisahau kuwaambia mwanagu anasumbuliwa na majini maruhani muda mrefu tukampakia siku hiyo hiyo tukamrudisha singida na mke wangu kaacha kazi anamwangalia mtoto. Tumechokaa na ma-HG. Siku ile kama niingeenda kazini Mungu nashukuru alipisha mbali si ajabu angemponda mwanetu na vitu vizito kichwani na kumpatia madhara makubwa hata kifo.
amrudishe tu porini kwao hivi hv, aaaaaaaaaaaaaah wapi mi lazima nimtie disiplini aisee....legally or illegally!!!
Ni muhimu kumpima afya mtoto, labda kaambukizwa haya magonjwa ya zinaa kama gono na mengineyo na zaidi hili gonjwa linalosemekana eti limepatiwa dawa!yaani hapo katavi....hapo hapo aisee hapana.