Housegirl


nipo dar kigamboni, usafiri atajigharamia akifika ntamlipa..tuko wanne tu mimi, husband na watoto wawili...kuhusu mmewangu kutafuna mahousegirl atajua akija
 
nipo dar kigamboni, usafiri atajigharamia akifika ntamlipa..tuko wanne tu mimi, husband na watoto wawili...kuhusu mmewangu kutafuna mahousegirl atajua akija

duh!
Yaan Ajue Yeye?
Heheheheh!
Unacheza Weye!
 
Watu wanalipa hadi laki mama. Ask around. Maid wangu anasomesha wadogo zake wawili, hata kama hutaki kumpa moyo unakusukuma tu.
hamsini wanaolipa ni wachache sana..kibongobongo 30 ndo yenyewe,,japo ni ndogo kwakweli...
 
Lol! Maid wa kujigharamia usafiri! Huwa unawapata wapi? Manake mtu hadi aje kuwa maid wako ujue keshapigika vya kutosha.
nipo dar kigamboni, usafiri atajigharamia akifika ntamlipa..tuko wanne tu mimi, husband na watoto wawili...kuhusu mmewangu kutafuna mahousegirl atajua akija
 
Jamani natafuta housegirl
kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa
mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya
simu nimpigie

piga 0714 064767 if you are serious
 
Nyie mnawalipa bei gan? Wengne mnaongea 2 bla kufikiria coz m2 kula kulala af mnadai ndg? Khs kunyanyasa hg inategemea na mwenyewe akifanya kaz kwa ufasaha utamsema sa ngap.
 
kama una watoto wadogo,huo mshahara uongeze tu kwa kweli.zen usipendelee kutafuta msichana kwa style hii if ur real criaz, ningekushauri ifuatavyo...1.kwenu ni dar?? kama sio basi tafuta msichana kijijini kwenu au kwa mumeo na kama ni apa dar hope una marafk na majirani pia talk to them wakutafutie huko vijijini kwao itakuwa safe zaid.
 
Jamani natafuta housegirl kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya simu nimpigie

ukipata houseboy ndo safi utamlipa hiyo 30 elfu harafu atakuwa anapoza machungu kwa mama!ahahahahahaa tafuta houseboy ndo mtaenda sawa
 
hamna mshahara uliojuu hata serikalini..kiwango cha chini cha mshahara wa mfanyakaz za ndani ni 60elfu lakini ajitegemee..so 30 ni sawa kama anakaa kwako..kwa hali halis ya tanzania 90percent wa ma housegirl wanalipwa c zaid ya 35 na 10percent elf 50

Du!
Mimi housegirl wangu namlipa 50k. Anakaa hapa home, kula kulala hapa hapa. Namnunulia nguo, namgharamia hospitali, na kumrushia vivocha vya buku mara moja moja. Majuzi katuambia anataka tumuongeze, tumlipe 60k. Of course, imebidi tuwe wapole kwa sababu tunajua anapiga mzigo wa mahousegirl wawili.
 
Benice

Una watoto 2 halafu unatoa 30,000? well sio ndogo ila angalia uwezekano wa kuongeza. Kwa rough survey (yawezekana sample size yangu isiwe true representation) wengi wanalipwa 50,000-100,000 . Unaweza kutrade usalama wa watoto na chakula chako na mtu wa kukuangalizia nyumba kwa 30,000? mlinzi mwenyewe huwezi pata wa 30,000.

Jamani kina mama punguzeni ubahili kwa mambo ya msingi- walau punguzeni kiduchu hela ya saluni na mawigi muone umuhumu wa wadada wenzenu wanaohangaika kutwa kudeki,kupika halafu serioulsy unampa 30,000 wakati unaspend kwenye kitchen party above that ?
 
=120,000
 



:becky: no comment
 
Jamani natafuta housegirl kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya simu nimpigie

nyie mnaolipa mishahara ya 30000 ndo maana mnaibiwagwa... hivi unategemea kwa mshahara kama huo huyo mdada atajiendeleza vipi, alafu mkiibiwa mnalalamika
 
Jamani natafuta housegirl kwa hali na mali..awe na umri chini ya miaka 25..mshahara 30000 kwa mwezi..chakula na malazi kwangu...kama yupo naombeni mniandikie namba ya simu nimpigie

hapo kwenye red!! hizo mali ni 30,000/=? au unatania mjomba? kwanini usichukue mtoto wa shangazi yako, au mjomba kijijini ukamlipa hizo elfu 30? mnajua ninyi ndio mnazidisha umasikini? huyu akilima nusu eka za mboga za majani anauwezo wa kupata laki 1 kwa wiki. kwa mwezi laki 4. na akilima jembe la mkono,kama hana mtaji kibarua elfu 20,000 kulima heka. na ndani ya wiki anaweza kuimaliza. msimu wa kiangazi ana uwezo wa kufanya kibarua na kufyatua tofali na kuzichoma, hakosi laki2 kwa tanuru kwa kazi isyozidi mwezi. wewe unaona hiyo TV yako na kuogesha watoto ndio unamuandalia future? kwa 30,000/=? tuogope Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…