Houth wadai kuidondosha ndege nyengine ya Marekani

Houth wadai kuidondosha ndege nyengine ya Marekani

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Ndege isiyokuwa na rubani inayogharimu dola milioni kadhaa za kimarekani imedondoshwa na wanamgambo wa Houth huko Yemen.
Taarifa za kuangushwa kwa ndege hiyo ya upelelezi ya MQ-9 reaper bado hazijathibitishwa na Marekani.Hata hivyo jeshi la Marekani mapema leo limeendelea kuishambulia Yemen kwa mabomu mazito maeneo yanayodhibitiwa na Houth.
Yemen wamekuwa wakizishambulia ndege za aina hiyo na wakati mwengine kuziangusha tangu mwaka 2011.Hata hivyo kasi ya mashambulio yao yameongezeka sana tangu vita vya Gaza vianze hapo mwaka jana.

Yemen's Houthi rebels claim they shot down another US MQ-9 drone

 
20240709_222133.jpg
 
Mara zote wakisema huwa hawajatania.
Propaganda gani wakati wameshaziangusha kadhaa.
Leo imefika ya Tisa nimeona kwa youtube .inatakiwa wawape na wenzao he's Allah ili waweze kuzitungua hizo drone
 
Leo imefika ya Tisa nimeona kwa youtube .inatakiwa wawape na wenzao he's Allah ili waweze kuzitungua hizo drone
Nadhani baada ya kuangusha ya mwanzo wamezisoma sasa wanazidondosha tu bila kujali thamani yake kuwa ni za mamilioni ya dola kodi za wamarekani.
 
Back
Top Bottom