Propaganda tu za KobazWametoa picha au video?
Leo imefika ya Tisa nimeona kwa youtube .inatakiwa wawape na wenzao he's Allah ili waweze kuzitungua hizo droneMara zote wakisema huwa hawajatania.
Propaganda gani wakati wameshaziangusha kadhaa.
Kama ni RAIS bas ni wale wa mabomu
Nadhani baada ya kuangusha ya mwanzo wamezisoma sasa wanazidondosha tu bila kujali thamani yake kuwa ni za mamilioni ya dola kodi za wamarekani.Leo imefika ya Tisa nimeona kwa youtube .inatakiwa wawape na wenzao he's Allah ili waweze kuzitungua hizo drone