HOW AM I DRIVING?? Call this number

HOW AM I DRIVING?? Call this number

rolugo

Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
18
Reaction score
5
Jamaa mmoja baada ya kusumbuliwa sana na gari lililokuwa mbele yake,akaamua kuchukua namba iliyoandikwa nyuma ya gari,nakuipiga,aliyeipokea alimuuliza shida nini,jamaa akasema huyu dereva wa gari yako nadhani hafai kuendesha hili gari,inaonesha sio mstaaarabu na si mtumiaji mzuri wa barabara.Jamaa akamjibu unaye wa kumbadilisha au unanijulisha tu?.Kwa lile jibu jamaa ilibidi akae kimya baada ya muda alikata simu.
Ila jamaa hakufurahishwa na lile jibu,sasa sijui alitegemea kupata jibu la namna gani.
 
Nadhani alichofanya mpiga simu ni sahihi kabisa, tatizo ni kwa huyo aliyepokea hiyo simu maana dhumuni la kuweak namba hiyo ni ku control uendeshaji wa madereva wazembe.
 
Jamaa mmoja baada ya kusumbuliwa sana na gari lililokuwa mbele yake,akaamua kuchukua namba iliyoandikwa nyuma ya gari,nakuipiga,aliyeipokea alimuuliza shida nini,jamaa akasema huyu dereva wa gari yako nadhani hafai kuendesha hili gari,inaonesha sio mstaaarabu na si mtumiaji mzuri wa barabara.Jamaa akamjibu unaye wa kumbadilisha au unanijulisha tu?.Kwa lile jibu jamaa ilibidi akae kimya baada ya muda alikata simu.
Ila jamaa hakufurahishwa na lile jibu,sasa sijui alitegemea kupata jibu la namna gani.

sio wewe mkuy ndo uliyepiga simu
 
Back
Top Bottom