zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Hello Dear JF Users.
Kenyans are further developed in different sectors.
Let me concentrate in Education especially in Linguistic/Languages
Kenyans speak fluent English contrary to Us Tanzanians who have been struggling a lot to achieve and encounter the language in both criterias speaking and writing..
I have witnessed many authors from Kenya having a collection of books we use in our Tanzanian Syllabus not only books but Dictionaries and other important tools concerning the Language.
Sio Tu Kiingereza bali Wakenya wako vizuri kwenye Kiswahili pia watu wao wanaongea kiswahili kizuri na hata katika uandishi wapo vizuri pia
Nimeshuhudia vitabu vingi ya kiswahili vya Wakenya vikitumika hapa Tanzania.
Hata Kamusi Sanifu pia tumekuwa tukizipata kutoka Kenya..
Nawajua baadhi ya waandishi vitabu mashuhuri akiwemo Ngongi wa Thiongo kutoka Kenya.
Kenyans are further developed in different sectors.
Let me concentrate in Education especially in Linguistic/Languages
Kenyans speak fluent English contrary to Us Tanzanians who have been struggling a lot to achieve and encounter the language in both criterias speaking and writing..
I have witnessed many authors from Kenya having a collection of books we use in our Tanzanian Syllabus not only books but Dictionaries and other important tools concerning the Language.
Sio Tu Kiingereza bali Wakenya wako vizuri kwenye Kiswahili pia watu wao wanaongea kiswahili kizuri na hata katika uandishi wapo vizuri pia
Nimeshuhudia vitabu vingi ya kiswahili vya Wakenya vikitumika hapa Tanzania.
Hata Kamusi Sanifu pia tumekuwa tukizipata kutoka Kenya..
Nawajua baadhi ya waandishi vitabu mashuhuri akiwemo Ngongi wa Thiongo kutoka Kenya.