MZEE SERENGETI
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 214
- 10
Hope all is good have started my company dealing with tourism,but the main chalLenge am facing is the way of getting customer. Please assist.
Duh,Jamaa hapo juu umemaliza kila kitu.Stay Blessed.
tatizo nahis litamkuta kwenye Usajuili,maana nasikia wana masharti magum sana.
Inatakaiwa kwanza uwe na gari si chini ya gari 5 za Safari,we jiulize gari moja si chini ya 45m.
Hapo pakoje hapo.
Duh,Jamaa hapo juu umemaliza kila kitu.Stay Blessed.
tatizo nahis litamkuta kwenye Usajuili,maana nasikia wana masharti magum sana.
Inatakaiwa uwe na gari 5 za Safari