Mostwanted boy
Senior Member
- Aug 24, 2013
- 115
- 10
katika joining instruction ya st.john nimekuta kitu hiki, "7. You must join a health insurance company which provides coverage throughout Tanzania and present evidence (membership card) of such coverage at registration". Sasa sijaelewa ntajoin vipi hiyo insurance company? Msaada kwa anayejua.
Uwe beneficial wa bima ya afya.
sijakuelewa, ntajoin vp? Hatua za kufuata?
Waone NHIF,au any health insurance company.u can just google kwa msaada zaid bt nadhan hao NHIF ndo wanapackage ya wanafunz , ila pia unaweza jikuta upo covered tayar na hizo health insurance kupitia wazaz au walez etc.
wazop@yahoo.com
Check me through that email