kuna software inaitwa "easy recovery" mwombe invisible akuwekee ui-download yenyewe inaweza kukusaidia zaidi. bahati mbaya hapa nilipo siwezi kukuwekea maana admin wangu ananibana sana. then utasema kama umefikia wapi. by the way invisible anapatikana hapa hapa JF.
Mkuu nimekujibu PM yako. Ukifanikiwa wafundishe na wengineNdio nimetumia hiyo ila shida yangu kubwa ni kurecover email za outlook