How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite

Mwandishi wa huu uzi alipona pona vipi miaka hiyo?
 
Chatto ipelekwe na reli ya standard gauge na fry over ni pazuri kwa uwekezaji.Sasa hivi airport na traffic light zipo.Pombe tufanyie chatto yetu na liwe jiji la chatto kabla ya 2025
Nyie[emoji2]
 
Magufuli hakuwahi kuwa mzalendo wala hskuwahi kuwa mzalendo.
Alikuwa mbadhirifu wa fedha zetu kuliko rais yeyote aliyemtangulia.
Matokeo yake baada ya kufa tunapitia pagumu

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Hali ya uchumi watu qanasingizia vita bya Ukraine. Ukweli ni kuwa hata yeye angekuwa hai hali ingekuwa hivi hivi au hata zaidi
 
Watu bado mna hasira naye mpaka leo?
Huyu ibilisi tutakuja kuishtaki hata maiti yake ifukuliwe.

Kwenye katiba mpya kuondowa kinga ya Rais kutoshtakiwa ni muhimu, mimi nitafunguwa mashtaka binafsi dhidi ya huyu shetani wa Chato.
 
Binadamu hupanga yake na Mungu hupanga yake....lets wait and see
Ulicomment kiufasaha maana huyu mwenda kuzimu alipanga kubadirisha katiba atawale milele, kumbe Mungu aliye hai alikuwq anamzoom tu kwamba hata term ya pili aliyoamuwa kuiba uchaguzi bila aibu hatoambulia hata nusu ya muhura huo.

Asante Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…