pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Wewe kenge kweli tena bin zuzu bin hayawani!Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
Leo ni 2023 na tuna rais mwanamke, 🤔Kufikia 2023 tutakuwa na Rais mwanamke, hizo story za Chattle zitaisha tu
Manaake kulikuwa na mission mahususi juu ya Maisha ya Rais Magufuli.Leo ni 2023 na tuna rais mwanamke, 🤔
Kwani alikuwa mtabiri au au ni mmoja wa wa mission mahususi?Nitabirie nyota yangu baada ya miaka mitatu ndugu plzzzzzz!
Indeed, kuna watu wapo way ahead kujua nini cha kufanya mkuu. Anyways ni bora kujiapambania maisha binafai kuliko kusubiri mambo ya siasa kuja kurahishisha maisha.Manaake kulikuwa na mission mahususi juu ya Maisha ya Rais Magufuli.
SijuiKwani alikuwa mtabiri au au ni mmoja wa wa mission mahususi?
Jifunze kuandika kwa ufasaha.u
meshindwa kuelewa nn hata kama kakosea spelling.
Utajiri woote wa madini hiki ndicho waliambuliaPata picha kwa speed hii, try to figure out, how will Chato be in 2035 after this heavy investment starting now if at all he will stay in power for 10 years, i hear a talk about textile factories but i read of gazetted GOT tenders about construction of an international Airport less than 140 km from what is soon to be Mwanza International Airport while Mtwara and Lindi with resources valued at over $400 bln that need over $30 bln worthy of investment; lays idle without the necessary infrastructure to support those massive investment projects i.e. mega LNG plant. A rival Mozambique has already built an international airport at Nacala to make the movement of poeple easier at both the Nacala port and Ruvuma basin where massive gas at over 160 Tcf compared to ours at 57 Tcf has been discovered!
President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Cities is supported by
Rockefeller Foundation
The president of what was then Zaire lavished millions on a palace complex and international airport in the remote town of Gbadolite. Guardian photographer Sean Smith heads for the jungle to document the pitiful shell that remains
Where Concorde once flew: the story of Mobutu’s ‘African Versailles’
Sean Smith in Gbadolite
Tuesday 10 February 2015 13.04 GMT Last modified on Tuesday 10 February 2015 14.04 GMT
Save for later
A mural of former President Mobutu outside the mayor’s office in Gbadolite. When Joseph Desire Mobutu took power he renamed himself Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga (meaning ‘the all-powerful warrior who, because of endurance and an inflexible will to win, will go from conquest to conquest leaving fire in his wake’)
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The air-traffic control tower of Gbadolite’s international airport, whose runway is long enough to accommodate Concorde. Now it welcomes only two or three tiny aircraft a week from the UN and a commercial operator
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the abandoned control tower
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The VIP arrivals terminal: Pope John Paul II, UN secretary-general Boutros Boutros Ghali and American televangelist Pat Robertson may have all passed through here
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the main airport terminal
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The main terminal at Gbadolite airport
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The Water Ministry building was never finished and is now used as a school
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the school
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The Motel Nzekele, built by Mobutu, had five stars when it opened in 1979
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The motel’s empty swimming pool. Guests reportedly included the pope, the Belgian king and French president François Mitterrand
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Ripped cinema seating inside the Motel Nzekele
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
An unfinished bridge in Gbadolite
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The main gates to Mobutu’s private palace still stand. Locals charge visitors $20 to access the former president’s estate
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The entrance gate and road to the main palace complex
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Walking among the ruins. Mobutu’s private palace, seven miles outside town in Kawele, once brimmed with paintings, sculptures, stained glass, ersatz Louis XIV furniture and marble from Carrara
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Francois Kosia Ngama, whose grandmother was a teacher to Mobutu’s mother, stands in the disused swimming pool
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Mobutu’s palace. In its heyday it employed more than 700 staff - including chauffeurs, chefs and servants - as well as 300 soldiers
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the palace grounds. Slowly but surely, the palace is being reclaimed by the jungle
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside Mobutu’s bedroom. The entire roof of the palace has gone, leaving only a skeleton of red steel girders
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
A fountain with statues of lions. Only two of the original four remain
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Hi Gbadolite ya Mobutu, imekosa tu matangazo. Ni kivutio tosha cha utalii. Watu wengi hasa wazungu wangetembelea hiki kivutio kuushangaa ujinga wa mwafrika.Yaani Tz kuna machiziii chizi kama wewe, je kuna uhusiano gani na JPM?? Yaani wewe nahisi siyo mtanzania, unatuonea wivu sisi watanzania kwa kupata rais muadilifu.
UNAMATATIZO SAANA KICHWANI. HIVI UNAFANANANISHA JEMADARI MAGUFULI NA HUYO RAISI WA ZAIRE? MAGUFULI HAKUJENGA MALI ZAKE, UWANJA WA NDEGE NA STENDI VYOTE HIVYO NI MALI YA WATANZANIA WOTE NA WEWE UKIWEMO, HIVYO MATUMIZI NA UKARABATI WAKE NI KILA WAKATI KWANI NI MALI YA UMA. RAISI WA ZAIRE HIZO MALI ZILIKUWA ZAKWAKE BINAFSI, NDIO MAANA BAADA YA KUFA HAKUNA MWANAFAMILIA ALIEWEZA KUZIENDELEZA, NDIO MAANA ZIKAHARIBIKA, NI SAWA NA WEWE SIKU UKITOWEKA USIKUTE HATA HIYO SIMU YAKO IKAFA, KWA KUWA NIYAKWAKO BINAFSI. MAGUFULI ALIJENGA MALI ZA UMAA, SIO MALI ZAKE, KWA HIYO UKARABATI NA MATUMIZI UTAKUWA PALE PALEEEE.Pata picha kwa speed hii, try to figure out, how will Chato be in 2035 after this heavy investment starting now if at all he will stay in power for 10 years, i hear a talk about textile factories but i read of gazetted GOT tenders about construction of an international Airport less than 140 km from what is soon to be Mwanza International Airport while Mtwara and Lindi with resources valued at over $400 bln that need over $30 bln worthy of investment; lays idle without the necessary infrastructure to support those massive investment projects i.e. mega LNG plant. A rival Mozambique has already built an international airport at Nacala to make the movement of poeple easier at both the Nacala port and Ruvuma basin where massive gas at over 160 Tcf compared to ours at 57 Tcf has been discovered!
President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Cities is supported by
Rockefeller Foundation
The president of what was then Zaire lavished millions on a palace complex and international airport in the remote town of Gbadolite. Guardian photographer Sean Smith heads for the jungle to document the pitiful shell that remains
Where Concorde once flew: the story of Mobutu’s ‘African Versailles’
Sean Smith in Gbadolite
Tuesday 10 February 2015 13.04 GMT Last modified on Tuesday 10 February 2015 14.04 GMT
Save for later
A mural of former President Mobutu outside the mayor’s office in Gbadolite. When Joseph Desire Mobutu took power he renamed himself Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Waza Banga (meaning ‘the all-powerful warrior who, because of endurance and an inflexible will to win, will go from conquest to conquest leaving fire in his wake’)
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The air-traffic control tower of Gbadolite’s international airport, whose runway is long enough to accommodate Concorde. Now it welcomes only two or three tiny aircraft a week from the UN and a commercial operator
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the abandoned control tower
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The VIP arrivals terminal: Pope John Paul II, UN secretary-general Boutros Boutros Ghali and American televangelist Pat Robertson may have all passed through here
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the main airport terminal
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The main terminal at Gbadolite airport
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The Water Ministry building was never finished and is now used as a school
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the school
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The Motel Nzekele, built by Mobutu, had five stars when it opened in 1979
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The motel’s empty swimming pool. Guests reportedly included the pope, the Belgian king and French president François Mitterrand
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Ripped cinema seating inside the Motel Nzekele
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
An unfinished bridge in Gbadolite
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The main gates to Mobutu’s private palace still stand. Locals charge visitors $20 to access the former president’s estate
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
The entrance gate and road to the main palace complex
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Walking among the ruins. Mobutu’s private palace, seven miles outside town in Kawele, once brimmed with paintings, sculptures, stained glass, ersatz Louis XIV furniture and marble from Carrara
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Francois Kosia Ngama, whose grandmother was a teacher to Mobutu’s mother, stands in the disused swimming pool
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Mobutu’s palace. In its heyday it employed more than 700 staff - including chauffeurs, chefs and servants - as well as 300 soldiers
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside the palace grounds. Slowly but surely, the palace is being reclaimed by the jungle
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
Inside Mobutu’s bedroom. The entire roof of the palace has gone, leaving only a skeleton of red steel girders
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
A fountain with statues of lions. Only two of the original four remain
Photograph: Sean Smith for the Guardian
Facebook Twitter Pinterest
President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite - in pictures
Aisee kauli huumba, who knew hata hiyo 2025 hataiona? Ogopa masononeko ya wanaoumia! Nguvu zote zile za kulazimishia utalii Chato kwa kuzisurutisha taasisi za serikali kama TANAPA na nyinginezo kujenga mahoteli na maofisi Chato huku akisimamisha ujenzi nchi nzima na huku akidhoofisha utalii Arusha kwa makusudi kwa kupora na kufunga Bureau de Changes, na hila zoote ziile, malengo hayakufanikiwa!No hakutabiri half way, alitabiri full term ya 10 years, hivyo alizungumzia 2035 na sio 2025!.
P
Sema Jemedari wa Chato!UNAMATATIZO SAANA KICHWANI. HIVI UNAFANANANISHA JEMADARI MAGUFULI NA HUYO RAISI WA ZAIRE? MAGUFULI HAKUJENGA MALI ZAKE, UWANJA WA NDEGE NA STENDI VYOTE HIVYO NI MALI YA WATANZANIA WOTE NA WEWE UKIWEMO, HIVYO MATUMIZI NA UKARABATI WAKE NI KILA WAKATI KWANI NI MALI YA UMA. RAISI WA ZAIRE HIZO MALI ZILIKUWA ZAKWAKE BINAFSI, NDIO MAANA BAADA YA KUFA HAKUNA MWANAFAMILIA ALIEWEZA KUZIENDELEZA, NDIO MAANA ZIKAHARIBIKA, NI SAWA NA WEWE SIKU UKITOWEKA USIKUTE HATA HIYO SIMU YAKO IKAFA, KWA KUWA NIYAKWAKO BINAFSI. MAGUFULI ALIJENGA MALI ZA UMAA, SIO MALI ZAKE, KWA HIYO UKARABATI NA MATUMIZI UTAKUWA PALE PALEEEE.
It's true kauli huumba, ila tufike mahali huyu jamaa aachwe apumzike Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amaniAisee kauli huumba, who knew hata hiyo 2025 hataiona? Ogopa masononeko ya wanaoumia! Nguvu zote zile za kulazimishia utalii Chato kwa kuzisurutisha taasisi za serikali kama TANAPA na nyinginezo kujenga mahoteli na maofisi Chato huku akidhoofisha utalii Arusha kwa kupora na kufunga Bureau de Changes, na hila hazijafanikiwa!
Hapana Pascal kwanza justice kwa wale walioporwa fedha zao halafu fedha hazionekani zimeenda wapi!Na haifichi ukweli madudu yake!It's true kauli huumba, ila tufike mahali huyu jamaa aachwe apumzike Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Jasho la mtu halipotei bure!, hata wasipolipwa, karma itawalipia!.Hapana Pascal kwanza justice kwa wale walioporwa fedha zao halafu fedha hazionekani zimeenda wapi!
Huna lolote.Sema Jemedari wa Chato!
Kauli za kizembe zinazohalalisha uonevu! Wasipolipwa wakapige mnada mali za marehemu kutia mkazo swala la rule of law!Jasho la mtu halipotei bure!, hata wasipolipwa, karma itawalipia!.
P
Kauli kama hii ya Pascal Mayalla hutolewa na wanaofaidika na mfumo. Karma huja baada ya juhudi kuzuiwa kishetani. Kwanza serikali ishurutishwe kuwalipa, na serikali ikigeuka dhalimu ikakataa kuwalipa, basi ndiyo Karma iachiwe ifanye kazi yake.Kauli za kizembe zinazohalalisha uonevu! Wasipolipwa wakapige mnada mali za marehemu kutia mkazo swala la rule of law!