How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

How come a Professional Doctor wa MOI awe mganga wa kienyeji? (Kisa cha mganga wa kienyeji wa Chasimba)

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Mtoto alipona kwa operation au baada ya mizimu kuongea akawa amepona instantly
 
Shukuru kijana wako amepona hayo mengine yaache inshort nikama ndio unataka sababisha conflict of interest hapa haitakuwa kati ya daktari/mganga na moi bali ni wewe na mizimu au mashetani ya mganga na kijana wako anaweza pata hitilafu tena ya mifupa ili unyooshwe vizuri na mashetani.

Sometimes tujifunze kukaa kimya.
 
Ungejua wanayopitia wengine usinge wa judge..

Kwenye kazi kuna mambo mengi sana..

1. Kuna kufukuzwa

2. Kuna kufutiwa lesseni

3.Kuna kunyanganywa ufaulu(disqualified)

4.Kuna Kulazimishwa kufanya mambo hayaendi sawa ja imani yako

5.Kuna kutokuelewana na boss wako(Kushughulikiwa)

6.Kuna kupoteza interests na vitu vya kawaida(watu wengi wenye akili)

7.Kuna tamaa(kuna pesa nyingi sana kwenye semi knowledge -mganga wa kienyeji alafu una practice kama professional-Trust)

8.Kuna kuchanganyikiwa

9.Kuna kuchukia mifumo- hasa ya serikali
 
Chasimba ni eneo lililopo Boko, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Huko ndiyo kisa kizima kinakoanzia, kuendelea na kumalizikia.

Ilikuwa hivi, mwaka Jana mwezi August kijana wangu alikuwa na tatizo la mifupa nikaambiwa huko Chasimba Kuna daktari mzuri sana wa MOI na ni mbobezi hasa kwenye tiba za mifupa.

Nikapewa namba zàke za simu na mawasiliano yakaanza mara Moja. Ilichukua siku kadhaa ndipo nikapata appointment nyumbani kwa doctor.

Nilimpeleka kijana akiwa na picha zàke za vipimo, akaziangalia kisha katoka Hali ya kishangaza akaanza kupamdisha majini, watoto wake wakaleta mafuko makubwa kabisa yenye madawa ya kienyeji.

Nyimbo zikaimbwa hatimaye mashetani yakatulia na mganga akaanza kutupa kile alichoambiwa na mashetani yake.

Sitaki kukoandika hapa ila yule Dr. Wa MOI alinisaidia sana kwani mtoto wangu alipona.

Swali:- je inawezekanaje Specialist Doctor wa mifupa akawa pia mganga wa kienyeji?

Je Moi wanajua kwamba daktari wao ni sangoma?

Je hamna mgongano wa kimaslahi ( conflict of interest) Kati ya Moi na Mizimu ya mganga?
Kama ni Msukuma itakuwa sawa tu kwani wale watu hata wasome vipi, mambo ya kienyeji hayaondoki.
 
Back
Top Bottom