How come stand ya wilaya iwe nzuri kuliko ya mkoa

How come stand ya wilaya iwe nzuri kuliko ya mkoa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
 

Attachments

  • DSC_0154.JPG
    DSC_0154.JPG
    4.3 MB · Views: 7
Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
Kwamba wilayani hakustahili kuwa na vitu vizuri kuliko mkoani?

Maendeleo yanatakiwa yawe sehemu zote, sio sehemu maalum tuu
 
Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
Inawezekana UPIGAJI kwenye hiyo halimashauri ni wa chini ndio maana uanaona kazi nzuri kuliko sehemu zingine ndani ya mkoa.
 
Kujenga stendi ni kazi ya Halmashauri husika,kama Halmashauri zingine zimezubaa basi ni makosa yao
 
Zamani ilikuwa ndni ya Masasi sasa hivi ni wilaya inayojitegemea tangu mwaka 2019
 
Mfano ni stand ya Mangaka iliyopo nanyumbu ni kali kuliko stand za songea, Mtwara, Lindi.. Serikali inakuwa inaonaje kuipa wilaya kipaumbele ilihali watu wengi wako mkoani na mzunguko uko mkoani.
Huu ni uongo. Stand ya Makanga kwanza ni ndogo sana. Ni vimajengo vichache tu. Na haiwezi kuifikia ya Songea.Labda Lindi na Mtwara.
 
Hiyo ndiyo standi nzuri?tukikupeleka ulaya Sasa si unaweza kusema sirudi tena nanyumbu
 
Huu ni uongo. Stand ya Makanga kwanza ni ndogo sana. Ni vimajengo vichache tu. Na haiwezi kuifikia ya Songea.Labda Lindi na Mtwara.
Kweli mkuu ya songea mpya iko juu sorry nilikosea hapo Kwa songea
 
Back
Top Bottom