Wapi huko mechanical engineering inafundishwa 3 years??Mimi najua iliopo COET basi ni 4years na vyuo ambavyo vinachukua diploma holder ndio wanafundisha kwa 3 years kama DIT,ACT na MUST( cna uhakika kama wanatoa M.E) but hakuna chuo ambacho mwanafunzi amedahiliwa direct from form 6 akasoma engineering kwa miaka mi3,ilikuwepo DIT but now imeshafutwa,form6 miaka mi4 na diploma 3 years