How does the World will end?

How does the World will end?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Katika kila maisha ya binadamu kuna mambo mengi yanatokea ambayo yatamfanya mwanadamu abwage manyanga kwenye kufikiri mfano kutafuta asili ya jambo mfano wa kiumbe!

Zipo nadharia nyingi zimeanzishwa ili kuendeleza ugunduzi wa misingi ya mambo haya tata katika asili yamambo mfano mkubwa asili ya binadamu kuna akina LAMARKISM THEORIES (mtanisamehe kama nimekosea), DARWISM THEORIES na CREATION THEORIES zinaposhindwa theories nyingi tunaangukia theory ya creation.

Hivi ndugu zangu tujadili mustakabali wa ustawi wetu katika dunia kwa namna tujuavyo ili kubadilishana mawazo. Binafsi nipo upande wa creation theorie lakin kweny nukta ya science state of nature lazima uhusike yaan kama ilivyo awali binadamu alitumia mabavu kuleta ustaarabu(kuorganise) basi hata kusambaratika kwake itakuwa hivyo.
 
Katika kila maisha ya binadamu kuna mambo mengi yanatokea ambayo yatamfanya mwanadamu abwage manyanga kwenye kufikiri mfano kutafuta asili ya jambo mfano wa kiumbe!!zipo nadharia nyingi zimeanzishwa ili kuendeleza ugunduzi wa misingi ya mambo haya tata katika asili yamambo mfano mkubwa asili ya binadamu kuna akina LAMARKISM THEORIES(mtanisamehe kama nimekosea),DARWISM THEORIES na CREATION THEORIES zinaposhindwa theories nyingi tunaangukia theory ya creation.Hivi ndugu zangu tujadili mustakabali wa ustawi wetu katika dunia kwa namna tujuavyo ili kubadilishana mawazo. Binafsi nipo upande wa creation theorie lakin kweny nukta ya science state of nature lazima uhusike yaan kama ilivyo awali binadamu alitumia mabavu kuleta ustaarabu(kuorganise) basi hata kusambaratika kwake itakuwa hivyo.
Hiyo title kiEnglish hakijakaa sawa.
Mimi nadhani itaisha siku jua litakapofika stage ya kufa na kuexpand kuimeza dunia
 
Msichanganye Kuna dunia na Kuna nyinyi!..
Dunia ni hii sayari tunayokaa ndimo tunafanyia maisha yetu,dunia inategemea jua na ipo siku jua litakwisha gesi zake zinazoungua so supernova will take it's action!.. hili litafanyika miaka billion 4 zijazo!.
Mpaka hapo huenda binadamu akawa ameshaondoka kwenye hii sayari nakwenda kuendeleza maisha kwenye solar system nyengine!. So Kuna dunia kufikia mwisho wake na Kuna binadamu kuendelea kuwa hai so which is the end your trying to explain...?
 
Msichanganye Kuna dunia na Kuna nyinyi!..
Dunia ni hii sayari tunayokaa ndimo tunafanyia maisha yetu,dunia inategemea jua na ipo siku jua litakwisha gesi zake zinazoungua so supernova will take it's action!.. hili litafanyika miaka billion 4 zijazo!.
Mpaka hapo huenda binadamu akawa ameshaondoka kwenye hii sayari nakwenda kuendeleza maisha kwenye solar system nyengine!. So Kuna dunia kufikia mwisho wake na Kuna binadamu kuendelea kuwa hai so which is the end your trying to explain...?
how does world get to the end?not human apo nimetolea mfn wa theories 2.
 
how does world get to the end?not human apo nimetolea mfn wa theories 2.
Hatutaelewana hapa mi nachojua huwezi zungumzia dunia pasipo kumtaja kiumbe binadamu hususani kuzungumzia mwisho wa dunia!
 
Kijasho kimenitoka, mi mwenzenu mgogo nilimswano nimejishibia nsansa zangu.
 
Mkuu waombe Modes waedit hiyo heading I am afraid to say that it is ungramatical, I suggest (How will the world end) au (How does the world end) lkn ikiwa how does the world will end, naona haijakaa vizur. To my understanding.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika kila maisha ya binadamu kuna mambo mengi yanatokea ambayo yatamfanya mwanadamu abwage manyanga kwenye kufikiri mfano kutafuta asili ya jambo mfano wa kiumbe!!zipo nadharia nyingi zimeanzishwa ili kuendeleza ugunduzi wa misingi ya mambo haya tata katika asili yamambo mfano mkubwa asili ya binadamu kuna akina LAMARKISM THEORIES(mtanisamehe kama nimekosea),DARWISM THEORIES na CREATION THEORIES zinaposhindwa theories nyingi tunaangukia theory ya creation.

Hivi ndugu zangu tujadili mustakabali wa ustawi wetu katika dunia kwa namna tujuavyo ili kubadilishana mawazo. Binafsi nipo upande wa creation theorie lakin kweny nukta ya science state of nature lazima uhusike yaan kama ilivyo awali binadamu alitumia mabavu kuleta ustaarabu(kuorganise) basi hata kusambaratika kwake itakuwa hivyo.
The world will never end instead will be transformed into another shape

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom