Mo hana lolote,angekuja na mtaji+ideal. ding ndo hiro aliweza kumsomesha, kupata mtaji,aliona fulsa akamrudisha hom.
Thanks God am not Mswahili Lol 🙂 King'astiAcha wivu. Ni wazee wangapi wakiachia business zao watoto wanazikuza? Tena vijana wa kiswahili hopeless kabisa! Ndo atalewa na kuoa wake za marafiki zake wote afe na ukimwi!
Big up Mo!