How I became a billionaire in 10 years

How I became a billionaire in 10 years

Ni kweli lakini mazingira ya nchi yetu nayo yanahitaji kuboreshwa juu ya uwezeshaji na uwezeshwaji wa wazawa nikiwa na maana wananchi badala ya kuwashindanisha na makamopuni makubwa... Ebu chukuia mfano huu: ABSA ndo walioinunua NBC na kila kitu kinafanyika Afrika kusini.. na kila huduma zinazohusiana na uendeshaji aidha zinatolewa kwa idhini ya ABSA au na ABSA makao makuu moja kwa moja..(Rejea suala la wizi wa mabilioni uliofanywa kw akutumia mtandao.. ilibidi wenyewe waje kuthibitisha...)kutoka kwa makampuni iliyoyaidhinisha.. MATOKEO??? Ukiondoa ajira ya watanzania lakini teknolojia nzima inahodhiwa na mwenye hisa yaani ABSA..unadhani huyu mbunifu angeweza kuuza software yake ya banking au bidhaa nyingine alizonazo???..
NI CHANGAMOTO NZURI.... INAWEZEKANA...SERIKALI NA WANANCHI WATIMIZE WAJIBU WAO.... Ni safari ndefu....
Nina ndoto kwamba ubinafshaji na utandawazi ni majibu yanayochukua muda mrefu katika kuwapa uwezo wananchi wazawa!!!

KILA LA HERI KWETU SOTE!!!!
 
Mnapoongelea "bilionea" specify na currency basi, ama sivyo Wazimbabwe wote karibu watajiita mabilionea, na wengine ma trilionaire.

Sheesh, mi nikafikiri tuna bilionea genuine in USD, kumbe hela za Kikenya?
 
Mnapoongelea "bilionea" specify na currency basi, ama sivyo Wazimbabwe wote karibu watajiita mabilionea, na wengine ma trilionaire.

Sheesh, mi nikafikiri tuna bilionea genuine in USD, kumbe hela za Kikenya?

Ukweli, nami ilinichanganya pia kidogo. Lakini nadhani hili ni swala la uhandishi (pamoja na culture ya mwandishi). Why i say that ? Mwandishi ni Mkenya, na wakenya wanathamini KSH kuliko USD. Kwahiyo mtu akisema "billion au million" kila mtu anajua ni KSH by Default.

note: 1.7 billion Ksh ~ 21,739,131.28 USD ~ 30Billion Tsh.
Now this might not sound much but i think for normal IT Tech / worker in TZ ni achievement.

Anyways, Mathumuni ya post ni kuwapa I.T gurus wetu nchini changamoto, i hope you enjoyed it.

Asante
 
Ni kweli lakini mazingira ya nchi yetu nayo yanahitaji kuboreshwa juu ya uwezeshaji na uwezeshwaji wa wazawa nikiwa na maana wananchi badala ya kuwashindanisha na makamopuni makubwa... Ebu chukuia mfano huu: ABSA ndo walioinunua NBC na kila kitu kinafanyika Afrika kusini.. na kila huduma zinazohusiana na uendeshaji aidha zinatolewa kwa idhini ya ABSA au na ABSA makao makuu moja kwa moja..(Rejea suala la wizi wa mabilioni uliofanywa kw akutumia mtandao.. ilibidi wenyewe waje kuthibitisha...)kutoka kwa makampuni iliyoyaidhinisha.. MATOKEO??? Ukiondoa ajira ya watanzania lakini teknolojia nzima inahodhiwa na mwenye hisa yaani ABSA..unadhani huyu mbunifu angeweza kuuza software yake ya banking au bidhaa nyingine alizonazo???..
NI CHANGAMOTO NZURI.... INAWEZEKANA...SERIKALI NA WANANCHI WATIMIZE WAJIBU WAO.... Ni safari ndefu....
Nina ndoto kwamba ubinafshaji na utandawazi ni majibu yanayochukua muda mrefu katika kuwapa uwezo wananchi wazawa!!!

KILA LA HERI KWETU SOTE!!!!

Ni kweli ulichosema kinachangia, Nimetafiti kidogo kuhusu huyu jamaa na
a. Naye anacompete na imported softwares kutoka S.A , India n.k lakini bado anakomaa nao...
b. Amesha supply software kwa Mabenki Manne (4) hapa nchini. (Hii ndio iliniumiza roho kidogo, sio kwamba ni vibaya yeye ku supply, Ila bali je sisi wazawa hatuwezi ?)

Sijui anafanyaje lakini he is doing something right. Something sisi hatufanyi ? Ametuzidi kete hapo.
 
Back
Top Bottom