Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
- Thread starter
-
- #41
Cupcake...umemsahau rafiki (wakati mwingine adui yangu) yangu Pundit aka Critic....nahisi lazima jamaa atakuwa mweusi sana....
well Mama hao watu wakija na personal attacked watakuwa wanachemka...i will say ndiyo hao ambao wako too serious in life ambao hawajui kuwa in real life siyo lazima uwe serious kuna time of making jokes and have fun unless otherwise watakufa kabla ya siku zao na pia ni kujizeesha....
Me simkandamizi mtu actual ila that is how i imagine them.....
Waambie Kelly, waache kuwa arrogant na kuwahate wenzao bure.
Endelea kuimagine, na imagine tungepata rais kama Kuhani (kuna mtu roho itamtoka).
Oh no Kuhani hawezi kuwa president he is too serious...we dont need a serious president...we need a moderate president who love both....
Oh no Kuhani hawezi kuwa president he is too serious...we dont need a serious president...we need a moderate president who love both...huyo kuhani anaweza kufunga fun zote za entertainment.....
The hottest thing in this city baby you can't ignore it....
Nyie kumbe mnataka rais who love both kama Kikwete, ndio maana Tanzania hakuna maendeleo. We need a serious president.
Haya Kelly jioni njema.
Sing it to me girl.....
Cupcake!...what is that?...i hate that picture mmh no take it out..its scaring.
na wewe nakufananisha na MICHUZI AHAHAHA
thats tha bizness girl...whatchu talkn bout you don't like it? see those six packs? see those lats? see those trap? see those quads? see those pecs?
anyways, your wish is my command...i'll change it
Kelly!
Najaribu kupata picha jinsi ulivyokaa na kufikiria wana-JF mbalimbali walivyo!
Mimi ni mpole hujakosea,muoga sana wa conflicts kwa sababu siwezi kubishana.
Wewe unaonekana ni mrefu, mwembamba hivi kiaina pia unapenda utani kuchangamsha watu. Nimeshawahi kukuona ila wewe hujui tu!...
Kelly01? Anafanana na BSS mmoja hivi!