Mkuu, sometimes kama nataka kukubali hivii... Lakini hujawahi kukutana na sura ya Mama Nai wewe... Ndio maana!! Sometimes nilikuwa nafikiria kama naweza kupoteza shule yangu, nikawa mpole zaidi.
Nai aliyatoa maisha yake kwa sababu yako. She only needed a simple thing from you, a support. That is all she needed. But you let her down. Hicho chuo Wala usingekipoteza. Huwezi kufukuzwa chuo kisa eti umepiga mimba. Isitoshe hata kama ungefukuzwa kwa ajili ya Nai kulikuwa na shida gani? Nai sucrificed her family for you why couldn't you sucrifice your schooling fer her too?
How Fisadi Kiwembe got his wife
Kutoka Sumbawanga, miaka kadhaa iliyopita kama nilivyosimuliwa
Jamaa alipata mke bila kutarajia.
Jamaa alikuwa fisadi kiwembe, kisha alijisifu kwa marafiki zake kuwa 'ameshakula madem' kila aina, mabonge, vimbaumbau, wafupi, warefu, weupe, weusi, wazungu, waasia, walemavu wa viungo nk, akawa amebakisha mwanamke albino tu.
Kwa hiyo mawindo yake yakawa ni kwa wanawake wenye ualbino.
Siku ya siku paap, akamuona binti mrembo umri unaokubalika...
Jamaa akaanza kumfuatilia na kumpiga sound nyingi...
Huku na huku baada ya kusotea wiki kadhaa jamaa akakubaliwa..
Kumbe binti albino hajawahi kuduu... Jamaa na ndom zake akaanza mchakato lakini dushe halikupita, ndipo akajuwa kuwa papuchi haijatumika kabisa...
Wakapanga siku nyingine, siku ile muda ulikuwa umeisha. Binti albino alikuwa bado anaishi kwa wazazi wake.
Siku ya ahadi kumbe yule binti alikuwa heat period, naye si mjuzi wa mambo hayo, akapeleka papuchi...
Jamaa alijiandaa kuitoa 'seal' ya albino huku tayari alikuwa ameshajisifia kwa marafiki zake...
Kweli, dushe siku hiyo likafanikiwa kupenya, hakuvaa ndom, kwa mzuka wareno hawakuchelewa...
Jamaa alirudi mtaani akijisifu kutimiza azma yake ya 'kugonga' sampuli nyingi za wanawake...
Baada ya miezi minne jamaa akatajwa na binti kwa wazazi wake kuwa ni muhusika wa ujauzito alionao...
Timu ya wazee wa Kisumbawanga ikaundwa, jamaa akatiwa mkononi, akawekwa kitimoto...
Lakini bahati nzuri alipewa option mbili...
Ya kwanza amuoe ama ya pili akubali kubeba ujauzito huo, akapewa siku saba za kufikiria ili atoe maamuzi...
Jamaa si akapuuzia...
Akasahau (sijui alijisahaulisha!)
Wale wazazi na wazee wa yule binti wala hawakumtafuta wala nini!
Baada ya mwezi yule jamaa tumbo lake likaanza kujaa [emoji1787]
Sumbawanga kiboko! Ni maeneo fulani njia ya kwenda Ziwa Tanganyika lakini ukifika somewhere Mtimbwa (sijui Mtimbwani) 5km kutoka njia kuu Sumbawanga - Mpanda road unachukua njia ya kulia, njia ya vumbi kabla ya kufika somewhere panaitwa Sintali...
Jamaa tumbo lilizidi kuongezeka, akaenda mwenyewe kwa wazazi wa yule binti...
Akaambiwa aende kesho yake...
Kesho mapema yule jamaa alienda pale na rafiki yake mmoja anayemuamini...
Alikuta tayari wazee wa mila wapo, binti yupo na wazazi pia...
Bottom line, ali-opt kumuoa yule bint...
Akaozeshwa kwa mila za Kifipa kwanza... Baadaye sana Kanisani...
Jamaa akapata mke namna hiyo.
___
Good side
Bahati nzuri yule binti alikuwa na upendo sana kwa yule jamaa, hivyo jamaa akajikuta amempenda mazima kikwelii siyo kwa kuigiza kama awali
Bado wanaendelea na maisha na wana watoto kadhaa.
******
James Jason
Kinachonifurahisha zaidi kwenye hizi story nne wanaume kuamua kuoa waliwatoa bikira...vyema Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
the continuing story of how I met my wife
.......The end of the beginning........
Familia yetu na ile ya Nasra na Mussa ziliendelea kuwa karibu. Hasa ukaribu wa Nora na Nasra. Nasra alifanikiwa kujifungua watoto mapacha, boy and a girl. Wakati wanazaliwa sikuhisi kitu, bt tulivorudi home Nora ndo akanambia, “wale watoto ni wako bro”. sikuamini. But baada ya miezi sita, ndo nikaona kabisa hawa wangu hawa. Ila ndo ntafanyaje. Nlijua kabisa Nasra amelitambua hilo bt sio sisi wala yeye aliyelizungumzia. Kwa upande wa Mussa sijui alijua akaamua kuuchuna, au hakua ametambua bado.
Watoto wakiwa na miezi saba tu, tukapata taarifa Mussa amepata ajali ya gari. And after two days he passed away. Baada ya maziko, Nasra akarudi kwao magomeni, but hali ya kifedha ya wazazi haikua nzuri sana, so Nora akawa anajitahidi kumpa tafu rafiki yake ila yale mazingira hayakua condusive kwa watoto. Nora ndo alisuggest, akanambia wale watoto itabidi tufanye namna tuwachukue.
Sijui Nora alimshawishi vipi Nasra, akakubali akahamia pale kwangu. Mwanzo akawa ananionea sana aibu, hata sikujua sababu. But kadri miezi ilivyoenda ndo alizidi kunizoea kama shemeji sasa. Kule Arusha biashara home zilikua zinayumba balaa. Nikamwambia sis, Nora aingie kwenye management. So baada ya chuo tu kuisha, Nora akawa muda mwingi yupo Arusha. Dsm tukawa tunabaki na Nasra. Akiwa Arusha Nora akawa ananiambia, ukijisikia kula we mle, I know anakupenda, na najua wanaume utakua unamtamani ila unaogopa hahahha. Nikawa kwa kweli sina mpango.
Nakumbuka ilichukua few months Nora kubadilisha hali ya kampuni, hadi akafungua tawi lingine hapa Dar, ili kurahisisha export processes. So Nasra akapewa job kwenye ofisi ya dar. Everyone was happy. Nora oneday akaniuliza kama nshakula, nikajibu hapana, akanambia tu shauri yako, mzigo utaanza kuliwa na majirani then watoto wako wapate baba mpya….. Nora alikua serious, sijua aliongea nini na Nasra, but one day Nora akiwa hayupo, nikashangaa kuanza kuona mabadiliko ya kimavazi akiwa mle ndani. Sometimes sketi fupi, sometimes bukta dah, na ile shepu nikajua tu hapa nakaribishwa. Kama utani tu siku moja tumekutana kwenye korido, nikamshika mkono nikaanza kumuongoza room kwake, naona anakuja tu hata hapingi.
Nora yeye alinipenda sana tu. But alikua na ule userious flani hivi na misimamo ile ya kama umekosea atakuchana live, so ule ‘u-kike’ hakua nao sana. Nasra yeye ni kama amefundwa namna ya kumhandle mwanaume. She made sure nimekula vizuri, nimeoga, nimenukia na alikua na ule upole wa kike, yaani hata kama hajakosea atakuomba msamaha. Cha muhim Zaidi alimheshim sana Nora, akiwepo hajishughurishi kabisa na mimi. Na niliona ubest wao ndo unazidi. Nasra akawa ananipush sasa nioe ili niwe kwenye ndoa. Nikamwambia, nikioa si ataninyima, “Mama Tafa mwenyewe keshaidhinisha, mimi sina mpango wa kuolewa tena wala kuongeza mtoto, as long as im with the man I love nimeridhika kuwa nilivyo”
Kweli tulifunga ndoa, tukahamia mitaa ya tegeta nyumba kubwa Zaidi. Now miaka minne since nimemuoa Nora. Kama unajiuliza Nora alikua serious kuruhusu kushare na Nasra, jibu ni ndiyo. Sio mara moja ashanisurprise kwa threesome. Sometimes hotel room najua yuko alone, nawakuta wote wako ready kuliwa. Sometimes naangalia football sitting room nikienda kulala nawakuta wote bed, Tunapiga mechi ya mtu tatu kiroho safi.
Kwa sasa game za Nasra zimepungua kiasi maana alihamia Arusha, na Nora akaja Dar. Kids wote wako na Nasra Arusha, we are planning kuongeza mtoto mwingine na Nora. And by the way, watoto wa Nasra wakiwa wadogo kabisa tuliwabadilishia kabisa na vyeti vya kuzaliwa, ndugu wa Mussa ilibidi waambiwe ukweli kuwa damu sio yao.
So ladies and gentlemen, that's a story of how i met my dear wife Nora.View attachment 1388509
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama mkwe ashawahi jutia achokifanya?baba alijisikiaje kujua alimtimua mtu sahihi?11th of Nzi Chuma..
Nitaandika hii mpaka nifike mwisho..
Mwaka wa tatu wa chuo kwangu ulikuwa na ubusy kidogo, so sikuwa na time sana na mapenzi kiviile, muda mwingi nilikuwa chuo, nikirudi usiku sanaa geto nimechoka, naweka simu silent nalala. Nai alikuwa mwanamke mwelewa sana, hakusumbua, shida niliipata hapa kwa single mama, akiwa yupo pale usiku anapiga simu mpaka unajuta yaani..mpaka sometimes nikawa nazima simu..yeye muda wote anataka mapenzi tu!! Mwezi mmoja kabla ya UE huyu single mother nae akapata mimba yangu. Alifurahi sana, alinambia kumbe alihangaika muda mrefu sana kupata mimba nyingine, lakini mimi nimemuwezea. Kwangu sikuona shida, nilijua kwa sababu anafanya kazi na ametafuta mtoto kwa muda mrefu, atazaa tu na atalea.. Lakini haikuwa hivyo. Nilivyoondoka tu pale Moro baada ya kumaliza UE, wiki mbili tu nyuma akaniambia imeharibika, nikajua atakua ameshaitoa.
Niliendelea kuwasiliana na Nai na pia niliendelea kuhudumia mtoto kwa Sophy!. Sikukaa sana kitaa nikapata kazi katika mradi flani ambao walikuwa wanatulipa vizuri, hapo nikaamua kujitegemea rasmi na kuanza mipango ya kuanzisha family.. Moyoni mwangu aliishi Nai tu. Niliamini nitamuoa tu one day.. Baada ya kufanya kazi kwa miezi sita hapa jijini nikawa niko vizuri sana. Nikarudi home na kuwaeleza mikakati yangu juu ya kuanzisha familia, nikawaeleza kuhusu Nai na yote yaliyotokea. Vidume vikajitokeza kunisaidia, nikavipa map vikafika kuonana na wazazi wake Nai..naam mtu mzima dawa, hawakutoka patupu..nikapata mrejesho wa kulipa mahari, nikalipa na kumuoa Nai, mtu niliyempenda zaidi maishani mwangu..!!. Lakini Nai hakuwa na raha na ndoa yetu, alikuwa anajua kuwa hawezi kupata mtoto. Lakini mimi nilimpa moyo kwa kumwambia kuwa ni bora nimekuwa mimi ambaye ndio msababishaji wa yote haya ndiye niliyekuoa kuliko angekua mtu mwengine, angekunyanyasa sana.. Nilijitahidi kufanya kila niwezalo Nai awe na furaha katika ndoa, lakini sidhani kama nilifanikiwa kwa 100%.
Muda flani akaanza kunilazimisha nioe mwanamke mwengine ili nipate mtoto (hapa tulishakaa miaka miwili katika ndoa). Alihisi sina amani. Lakini mimi nilikomaa nae, kila daktari mtaalam wa Gynecology niliyemsikia nilionana nae, dawa nyingi zikitumika lakini bado hatukufanikiwa. Mwisho nikamweleza ukweli Nai kuhusu Sophy, akaniambia niwasiliane na Sophy ili Abdul aje hapa atufariji.. Nikawasiliana na Sophy, nikamueleza mpango wangu, hapo ndipo Sophy aliponibadilikia na kunieleza kuwa yule mtoto hakuwa wangu kabisa, ni kuwa tu baba yake hajiwezi kiuchumi ndo maana akanibambikia, na ndo maana kipindi cha ujauzito hakunishirikisha..lakini baada ya mtoto kuzaliwa wakahisi atakosa huduma muhimu ndo maana wakanibambikia. Hapo hamu ikaniishia, sikutaka kuujua undani sana wa huyo mtoto nikaamua kupotezea.. Nikaconcentrate na Nai wangu..
Miaka ilipofika mitatu bila mtoto, nikalifanyia kazi wazo la Nai, nikaenda zangu kuchukua shombeshombe Pemba (how i met her, it's another story). Huyu ni kama alipata mimba siku ya harusi hivii...hahhahaa manaake alizaa miezi tisa kamili. Lakini Mungu sio Mzee Mkumba, baada ya kuoa, Nai alishika mimba mwezi mmoja tu mbele.. So alipishana na yule mke wangu wa pili mwezi mmoja tu kujifungua. Baada ya mwaka mmoja Nai akashika mimba nyingine na kuniletea toto la kiume (wa kwanza alikuwa wa kike). Kwa sasa nina watoto wanne, wawili wa kike na wawili wa kiume (kila mke mmoja akiwa na mtoto wa kike na kiume). Wanapendana sana na tunaishi kwa amani iliyopitiliza.
Wadau, nimejitahidi kufupisha ili nisiwachoshe.. and this marks the end of how I met my wife...!!.
Nzi Chuma, hadhuriwi na uvundo
Baada ya kuoa, sikuwahi kabisa kuongelea suala la mama Nai wala yaliyotokea.. Tunaishi kama hakuna kilichotokeaMama mkwe ashawahi jutia achokifanya?baba alijisikiaje kujua alimtimua mtu sahihi?
Kwa sasa hakuna kukumbushana yaliyopita. Tunaheshimiana tu kama mtu na mkwewe.. Ingawa Mama Nai naonana nae mara chache saanaDah unavyoelezea ukauzu wa mama nai nacheka balaa
Kwahyo sasa hv anakuita mkwe au sio?
Na heshima zote yaan
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeiona Facebook hii habari, pole sana mzee babaKama mmeona kwenye mitandao ya kijamii (hata hapa Jf nimeiona) taarifa ya dereva wa Basi la Isamilo aliyekufa akiwa safarini, basi ndio huyo ndg yangu wapendwa.........
Sent using Jamii Forums mobile app
dah, nilisoma haraka haraka sijui..... asante kwa sahihisho!Ilikuwa siku yake ya 'heat period' SIYO 'menstruation period'
Angalia vizuri.
James Jason