Usisahau kutuletea feedbackatanteeee kwa ushauri wenu ntaufanyia kazi to all lolz>>>.@daughter no nacheza karata tu......
atanteeee kwa ushauri wenu ntaufanyia kazi to all lolz>>>.@daughter no nacheza karata tu......
usijaari pamoja sana @afro...
usijaari pamoja sana @afro...
my dear ngoja nikufundishe
kitu kidonchoooo tuuu
ukitaka kumreplay ntu na unataka poster yake iwe juu yako
angalia mkono wa kulia mstari wa mwisho utaoana " Reply With Quote"
bonyeza hapohalafu andika chini ya maneno ya huyo unae mjibu ..
mmhhhh Ivunga alinifundisha kwa hiyo nakukabidhi uridhi...
lala salamaa aee..
aroo we mkurya?
Nitajuaje kama ananipenda?mpenzi wangu kila leo yu busy hata iwe kipindi cha holiday ukimpigia simu atakupa sababu mara ntakuchek mida,mara nipo kwenye kikao,mara nipo busy mara nyingi huwa naelewa lakini amezidi kwani anaweza kukuahidi atakuchek mida na asifanye kama alivyo ahidi,je huyu mtu ni mkweli au?naomba msaada wenu jamani....
THANX