How kan i know.....


Kwa hali hii wengi sana mta danganyika,trust me,
kukupigia simu mara kwa mara himaanishi ana kupenda
 
Kwa hali hii wengi sana mta danganyika,trust me,
kukupigia simu mara kwa mara himaanishi ana kupenda

sijamaanisha kuwa mtu kukupigia simu mara kwa mara ndio anakupenda.
Nimemaanisha yule anayekupenda hawezi kumaliza siku hamjawasiliana kwa namna yoyote.
Hivyo ni vitu tofauti. Ukifikiria kwa makini utagundua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…