How long can you last without sex?


UNATUHARIBIA mtiririko
 
Hehehe! Mi ni kinyume chake. Huwa naapolojaizi nikiwahi kurudi. Sikumbuki siku niliyowahi kurudi. Naishukuru sana SHADES OF SIN. Angalau sasa Saa nnne kasorobo natia timu home.
mimi nimetoa kabisaaaaaaaa antenna NIKAIPIGA FOR SALE!shades na mambo mengine chawote(wanaonyesha pale)πŸ˜€
 
Wewe kweli ni abunuasi...hii ni makitu gani umebandika hapa sasa!
inawezekana uko deprived of sex wewe
 
UNATUHARIBIA mtiririko
Hizo notes zinamfaa Kaizer na Carmel!

mimi nimetoa kabisaaaaaaaa antenna NIKAIPIGA FOR SALE!shades na mambo mengine chawote(wanaonyesha pale)πŸ˜€
Dah! Itabidi niongee na Meneja wa Club Etiennes a do ze nidful! Kuwahi sana home unaweza pangiwa zamu ya kuosha vyombo!
 
Wewe kweli ni abunuasi...hii ni makitu gani umebandika hapa sasa!
inawezekana uko deprived of sex wewe

Birigita mambo? Jina la binamu yangu hili, isije kuwa ni wewe. Hebu ni-PM tafadhali! πŸ™‚
 
Dah! Itabidi niongee na Meneja wa Club Etiennes a do ze nidful! Kuwahi sana home unaweza pangiwa zamu ya kuosha vyombo!

Kuwahi home is good for your health! πŸ™‚
 
Dah hongera sana sasa hii Nguga ndo nn au ndo penzi binafsi?
Si wengine zikipita siku 2 au 3 unahisi kama unaumwa vile maana hii kitu ipo damuni kabisa.
hiyo inahusika kabisa mkuu
 
halafu mate,
mbona hii baa ya kimara-sheli IMEFUNGWA?
sijui mkuu, nasikia Oryx wenyewe ndo wamekataa, wezi ndo wanakaaga pale wanasoma ramani na kuangalia kama hela imepelekwa benki au ipo, the usiku wanakuja kuzichukua kama zao vile.
 
sijui mkuu, nasikia Oryx wenyewe ndo wamekataa, wezi ndo wanakaaga pale wanasoma ramani na kuangalia kama hela imepelekwa benki au ipo, the usiku wanakuja kuzichukua kama zao vile.
DAH!enewei
 
Ulijuaje hommie! yaani hapo ndo penyewe kabisa....πŸ˜€πŸ˜€
Aisee hommie zile lojistics sijui kwanini hazikamati? Anyway, simba mwenda pole ndiye mla nyama!
 
Inategemea u mroho kiasi gani,wengine daily doze kutwa mara tatu, wengine kutwa mara moja wengine wiki mara moja na wengine mara moja kila mwezi,hivyo yategemea na uroho,stamina na mlipokutana mara ya mwisho machester alipata bao ngapi na arsenal ngapi.Kama matokeo moja moja hapo mechi ya marudiano i jirani, kama matokeo saba kwa sita mwaweza kukaa hata wiki mbili timu zote zikiwa zinauguza majeruhi ya wachezaji wake
 
This depends with one's vocation above all how committed one is to his or her vocation. Kwa wanandoa inategemea walivyoamua na ni kwa kiasi gani they are faithful especially during a patner's absence. Wapo waseja na mabikira whose tolerance lasts forever ingawa siyo wote. Suala kubwa ni uamuzi na mpangilio tu!
 
Well said my dear!!
It depends on the mood. Mi nafikiri uroho wa mtu na stamina ndo inamatter. Ila hapo kwenye score umesahau score ya moja bila na bila bila. Hizi score inamaanisha mechi lazima irudiwe siku hiyo hiyo.

Kwa mfano jana asubuhi kwangu ilikuwa bila bila bcoz nilikuwa nawahi kazini nikaomba kuingiziwa kichwa tu. Leo asubuhi nimerudia tena kuomba kichwa na bado nimetoka bilabila so kesho tena asubuhi nitaomba kichwa ili irudiwe jumamosi asubuhi na hapo score lazima iwe moja moja au mbili moja ushindi kwa mume.

Mechi hizi bwana!!

 
Kwa maoni yangu kwa kweli kama umeolewa na unataka kudumisha ndoa yako dai mume akudumishie mila ya at least one round per week isipokuwa katika kile kipindi cha wet and red season ambako si healthy (unless kama unajiexpress).

Hiii kitu tunaipenda sana,
kwa wenye ndoa na wasio na ndoa.
Je wewe unahimili kukaa muda gani bila kupata ile kitu roho inapenda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…