How long can you last without sex?

inategemea jamani wengine tukiikosa one week tu yani akili inavurugika kazi aziendi kabisa
 

Duh!
 
inategemea jamani wengine tukiikosa one week tu yani akili inavurugika kazi aziendi kabisa

Kuna mtu aliwahi kuniambia wamba kuna ushahdi wa kisanyansi kwamba mtu akiwa na stress anaweza kuindoa aidha kwa kusikiliza muziki anaupenda au kwa kupafanya good sex! Pia inasemekana kwamba kuangalia matiti ya mwanamke ni dawa tosha kabisa ya kuondoa stress!!! πŸ™‚ Mtanisadia wenye fani zenu.
 
Pia inasemekana kwamba kuangalia matiti ya mwanamke ni dawa tosha kabisa ya kuondoa stress!!! πŸ™‚ Mtanisadia wenye fani zenu.

Hii kweli mm nikiangalia wowowo tu stress zote kwisha kama ulikuwa unaendesha kalio kubwa likakatisha road lazima upoteze mwelekeo kwa mfadhaiko maana inakuwa balaa.
 
yeeeeeeeeeeeh ooooooooooooo nooooooooooo
 

haya majaribu mengine!
 

mpwa hili kweli kabisa
 
usiku mmoja kwangu ni kama miaka MIA MOJA!i can maximum last for one day

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu Mkuu....Wengine hata akili inashindwa kufanya kazi sawasawa akikosa majambo yake.
 
Binamu we acha tu, yaani huchelewi kujikuta vidole vimeteleza ukatuma PM kwa dada wa watu!!! ........ πŸ™‚

halafu JF isivokuwa na adabu ukakuta the opposite..ndo maana mi nimeamua PM situmi kabisa tutabanana hapa hapa front pageπŸ˜€πŸ˜€
 
halafu JF isivokuwa na adabu ukakuta the opposite..ndo maana mi nimeamua PM situmi kabisa tutabanana hapa hapa front pageπŸ˜€πŸ˜€

hahaaa B hujapata stress wewe eeeh???
u will make A gud use of PM afu utaniambia tena yakikukuta
 

Mzenj amesema nikugongee thanks for ur useful post!

Thanks yangu ni kwa niaba!
 
hahaaa B hujapata stress wewe eeeh???
u will make A gud use of PM afu utaniambia tena yakikukuta

hhahaha..B unajua mi niko stress-free. kuna kipi nimekosa

nikimtaka B wangu wa ukweli yuko hapa,

Mrs wangu ako hapa,

ma'mdogo wenu ako hapa,

stress wapi na wapi bana,,,,,PM sigusi kabisaaaa....(ila wengine wanatutia majaribuni kama huyo Caren..)
 
Hizo notes zinamfaa Kaizer na Carmel!


Dah! Itabidi niongee na Meneja wa Club Etiennes a do ze nidful! Kuwahi sana home unaweza pangiwa zamu ya kuosha vyombo!
Asante mume wangu kwa kuwahi home kila siku, najua unasoma hapa. usiwasikilize hawa mabinamu zangu hapa mpenzi.
 
hhahaha..B unajua mi niko stress-free. kuna kipi nimekosa

nikimtaka B wangu wa ukweli yuko hapa,

Mrs wangu ako hapa,

ma'mdogo wenu ako hapa,

stress wapi na wapi bana,,,,,PM sigusi kabisaaaa....(ila wengine wanatutia majaribuni kama huyo Caren..)

hahaaaaaaaaa, B na wewe umenitia majaribuni hii rangi ulotuma hapo
(i hope sijaingia deep kivile) au???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…