ahh mie cku ya 1 sihitaji kubembelezwa wala stori zako za nilikupenda sana sema tu cjui nini nanini, czitaki! 2kae 2pige tu stori wee, mbona kuna mengi ya kuongelea, ndio hapo nitakuona nunda au tunaendana.....
hahahaha! Stori? Hakuna muda wa stori dada. Ni kubembelezwa mpaka kieleweke.
aaaaah 🙂
...Second, how long does it take for you guys kumwambia 'Dada nakupenda na kumaanisha hilo after seeing her?
je nanyi huwa mnachunguzaga kwanza au ukumwona tu unamwapproach then kumchunguza itakuja baadaye mkiwa ndani ya urafiki?