How powerful cartels ruined Nairobi's transport sector

Chamoto

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2007
Posts
8,577
Reaction score
18,774


Tofauti ya ustaarabu wa Watanzania kwa Wakenya inajidhihirisha kwenye hii video. Kwenye comment hakuna hata Mtanzania mmoja aliyeshiriki kuwabeza Wakenya kwa usafiri wao mbovu. Hii video ni ya 2017, kipindi hicho BRT ilikuwa mpya kabisa ila cha kushangaza hakuna hata comment mmoja ya Mtanzania aliyejimwambafai kuhusu Dar rapid transit.
 
Believe me hata mie sikuwa na time now ni baada ya kuanza kupitia blog zao nikagundua wana stereotype dhidi ya Tanzania. Hawa jamaa ukikutana nao cha kwanza huwa kujaribu kujikweza!
 
Nairobi was in need of serious leadershipšŸ‘Œ

And thats where the Nairobi Metropolitan Service steps in, led by General Badi from KDF

By the end of the year, Nairobi will have a commuter train service plys BRT and join the likes of Ethiopia in the region
 

Attachments

  • 117969722_767743690709892_5137053512879262585_n.jpg
    48.9 KB · Views: 2
The whole line was being refurbished, hapa ni part ya Kibera
 

Attachments

  • 117995045_767745614043033_2583393835518382182_n.jpg
    70 KB · Views: 2
Cant wait for the DMUs to be launched, halafu itakuwa supplemented by a BRT system kama yenu na pia matatu zetu.

Already wanatengeneza bus parks for the matatus outside cbd. Only the BRT buses will be allowed jijinišŸ”„
 

Attachments

  • download.jpeg
    9.4 KB · Views: 3
Believe me hata mie sikuwa na time now ni baada ya kuanza kupitia blog zao nikagundua wana stereotype dhidi ya Tanzania. Hawa jamaa ukikutana nao cha kwanza huwa kujaribu kujikweza!
kwani kuna kitu gani cha maana huko Tz zaidi ya Kenya?
 
Believe me hata mie sikuwa na time now ni baada ya kuanza kupitia blog zao nikagundua wana stereotype dhidi ya Tanzania. Hawa jamaa ukikutana nao cha kwanza huwa kujaribu kujikweza!
kwenye video yoyote inayosifia Dar es salaam au Tanzania, utawaona jamaa wakizengea kama fisi mbele ya mlo wa simba. Tena baadhi ya youtuber wameanza kutengeneza video nyingi za kuisifia Tanzania kama chambo, wakijua Wakenya watakuja kupinga na hivyo kuzidi kuongeza views..
 
Cant wait for the DMUs to be launched, halafu itakuwa supplemented by a BRT system kama yenu na pia matatu zetu.

Already wanatengeneza bus parks for the matatus outside cbd. Only the BRT buses will be allowed jijinišŸ”„
Rejects at a cost of brand new!
 
To each his own, we have BRT.
Sawa ccm flowe boy, niambie how much a new dmu unit costs, tupige comparison?

Ama tucompare dmu zenu na zetu? Oh i forgot hamnašŸ’
 

It has not only ruined Nairobi, but the entire country.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…