Rose,haya unayoyasema mbona hayaendani na Avatar yako? maana hii avatar mmmhhh!!!!!!!!!!!!!!!! Mola apishe mbali na kishawishi chake.
HIVI WAHISHIMIWA.....!samahani kidogo mimi naamini vitu viwili katika ufikiri wangu:1-SIJAMWELEWA MRUSHA MADA 2-(......).
mimi naomba nikuulize swali dogo sana ndugu yangu.......
KWENYE HIYO CASE YA WOMANIZING,kuna mazingira yoyote ya mwanamke anaekuwa womanized KULAZIMISHWA?RAPE?HARRASSMENT?
au je....mwanamke anaekuwa WOMANIZED hana hatia hapo?hapaswi kukanywa?hana ndoa?
au je....mwanamke kila akitongozwa lazima AVUE?ni haki yake KUVUA?
maanake nasita kumjadili WOMANIZER il hali najua kwamba kuna mtu hapo WOMANIZEE ambaye ''haguswi'' kwenye huu mjadala ''mama'' wa mpango mzima wa (....)
mpwa naona UMETIA kizungu hapo:smile-big:
HIZO KILIMANJARO MNAZONYWEA KWENYE VIKOMBE VYA KAHAWA ndo maana mnalewa mapema:ranger::ranger::ranger:
Most men have this problem of desiring any lady they see who crosses their line of sight. A man may decide to stick with a certain lady today, but the next day another lady may appear to be more attractive and gorgeous than the girl he intends to settle down with. Beautiful girls are so many and located everywhere that making a choice has always been like;
YES SHE IS THE ONE!!! baadae utamsikia ...mmmh
NO IT IS THIS ONE!!!
Hii mambo mbona inakuwa siku hadi siku kulikoni???????????????????????????!:A S 33::A S 33:
Msinimeze hv great one !
HIZO KILIMANJARO MNAZONYWEA KWENYE VIKOMBE VYA KAHAWA ndo maana mnalewa mapema
ha ha ha!Karibu tena Bigie,
Mbona umekuwa mkali hivyo? Hebu tuliza tuliza kidogo...bado tunataka kuwa na wewe katika hii wk ya Novena!!
DC
ha ha ha!
haya mheshimiwa sana Retired Maj Gen DC (1947)
HIVI WAHISHIMIWA.....!samahani kidogo mimi naamini vitu viwili katika ufikiri wangu:1-SIJAMWELEWA MRUSHA MADA 2-(......).
mimi naomba nikuulize swali dogo sana ndugu yangu.......
KWENYE HIYO CASE YA WOMANIZING,kuna mazingira yoyote ya mwanamke anaekuwa womanized KULAZIMISHWA?RAPE?HARRASSMENT?
au je....mwanamke anaekuwa WOMANIZED hana hatia hapo?hapaswi kukanywa?hana ndoa?
au je....mwanamke kila akitongozwa lazima AVUE?ni haki yake KUVUA?
maanake nasita kumjadili WOMANIZER il hali najua kwamba kuna mtu hapo WOMANIZEE ambaye ''haguswi'' kwenye huu mjadala ''mama'' wa mpango mzima wa (....)
hII ULIOULIZA HAPA inafanana na ile ya kusema ina maana kila kichaka lazima u*****?
HII NI TABIA YA KUJIENDEKEZA na kutokuwa na hofu ya MUNGU.
HII NI TABIA YA KUJIENDEKEZA na kutokuwa na hofu ya MUNGU.
Thanx Kipimapembe will kam back to u soonest akili yangu leo iko kidogo sana
fl1,
kwa sababu unajua nimesema ukweli. Huu huwa ni ukweli ambao wanaume wengi hawapendi kuukubali. Of course tafiti zangu ni kwa wanawake wa working class. Kwa wale wa vijijini sina uhakika. Lakini kwa wale walioko maofisini wanawake ni infidels zaidi ya wanaume, au kwa kutumia lugha yako wanawake ni womanized zaidi kuliko wanaume walivyo womanizers. wanaume wengi (hata humu ndani) hupenda kujisingizia tabia ambazo hawana; ni kama sadam hussein (marehem) alivyokuwa akitaka ulimwengu uamini kama ana womd wakati hana, halafu wale wenye nazo kwa uhakika kabisa (kama israel) wakitaka dunia nzima iamini hawana!
Kwa hiyo huu ushauri wako uelekeze kwa wanawake wa working class naona ndo unawahusu.
Hebu nipe jinsia yako kwanza niichakachue kabla sijatoa commentmy dia mm nadhani ni kurithika na kile ulichonacho,binadam wote ni sawa,kama unashidwa kukabiliana na tamaa ya mwili then itakuwa mbaya sana maana unaweza kutamani hata dadako !:disapointed:
Mi sometimes nafikiria wanaume hawajui wanachokitaka, au wanatafuta kitu ambacho hakionekani kwa macho.
Kuna kitu huwa nakiamini, kina kaka mtanisaidia, msichana unaependa kweli kweli unaweza ukamtengeneza akawa kama unavyotaka kwa upendo tu.
Ni kweli na itabaki kuwa hivo hakuna mtu aliyekamilika asilimia mia katika mambo yote. Kama umempenda binti kwa dhati kipo ulichokipenda kikubwa ambacho kwa hicho waweza kuwa nae na kushauriana nae, kufundishana na hatimae anakuwa kama unavyotaka.
Kutokana na hicho ninachokiamini Mwanaume anaekuwa na mwanamke leo, kesho ana mwingine, kesho kutwa mwingine eti kisa huyu ni mzuri kuliko huyu, Ni mwongo na mharibifu na mleta majeraha kwene mioyo ya mabinti. Mwambie Mungu akuokoe ktk mitego hiyo