How Tanzania cooks its economic figures and blocks media and experts from reporting

Very very true
 

Hata Tanzania uhuru upo. Ndiyo maana CAG anaanika wazi kabisa madudu yaliyotokea. Isingekuwa hivyo tungejuaje ufujaji wa pesa unaotokea.
 
Fake news!
 

Kwamba naongea uongo kusema 43% ya Wakenya wanaishi chini ya viwango vya ufukara na Kenya kuna Njaa na Funza?
Am I fu..kin Lying??
 
IMF is a puppet organization for the EU since GoT rejected EPA they have resorted to smear company just figure out Kenya's GDP is $99bln while thousands r dying of hunger!

Just wake up from the slumber. Don't bootlick so much. You will look so stupid
 
Halafu utawasikia wakisema Kenya is corrupt.
 
IMF is a puppet organization for the EU since GoT rejected EPA they have resorted to smear company just figure out Kenya's GDP is $99bln while thousands r dying of hunger!
Denial as usual.
 
What is the Meaning of Kenya’s $99bn GDP yet thousands starve to death, uhaba wa Maji safi na kipindupindu kinawamaliza, umaskini wa kutupwa, funza ikiwa miongoni mwa matatizo ya zaidi ya nusu ya wakenya
Afadhali nilale njaa kwa nchi yenye GDP ya kufa mtu kushinda kuishi katika stone-age Tanzania.
 
Serikal hii hata akija nani na habar za kisenge hapewi airtime...hao imf wanamlazimisha nani kwan hii ni sovereign state hatuambiwi cha kufanya
 
Serikal hii hata akija nani na habar za kisenge hapewi airtime...hao imf wanamlazimisha nani kwan hii ni sovereign state hatuambiwi cha kufanya
Hamshurutishwi kufanya lolote, hizi ni process na mikataba ambayo Tz ilikubali kutia saini. Alafu sijui kama unaelewa kwamba mtapoteza wawekezaji kwasababu ya ubabe wenu wa peni mbili wa kuficha vitu ambavyo vinaonekana wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…