How to be the best MC master of ceremony.

How to be the best MC master of ceremony.

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Wakuu Salaam!

Kuna kamsemo wazungu wanakipenda kukisema 'If you not making money then your making nonesense.

Naomba wenye highlights na dondoo chache just in brief summary watufahamishe ni jinsi gani mtu anaweza kufanya shughuli hii ya ushereheshaji katika masherehe, misiba(burial ceremony), matamasha(concerts na festivals) na vikao(meetings mbalimbali).

Basi wakuu mambo ni mengi na vijana hatuna budi kujitengenezea fursa mbalimbali ilimradi kwanza mkono uende kinywani na ufanye saving kadhaa.

Mimi kwa mujibu wa kazi hizi kigezo kikubwa kwangu ni
1. Cofidence(kujiamini yaani wa darasa la saba anafanya hii kazi ila graduate hawezi eti kisa hajiamini)
Haya leteni vigezo vingine.

NB: walio ajiriwa kama Walimu na wengineo you can do this as a part time job.

Karibuni kwa michango yenu.
 
1: kujitoa katika baadhi ya matukio yasiyo ya faida Kama kanisani, misibani na ndoa za kawaida. Yaani ufanye Bure Ili uonekane.

2: Connection na watu mbalimbali ambo huwa kwenye kamati za maandalizi Ili upendekezwe.

3: Mtaji, hakikisha una Mtaji wa kujiweka nadhifu hasa mavazi( suti) ya kutosha. Sio Kila sherehe nguo zile zile.

4: Ubunifu, lazima kuwa na vitu vipya Kila tukio sio misemo na mifano inakua Ile Ile na style Ile Ile. Usitabirike na hakikisha unacheza vizuri na hadhira yaani iwe active muda wote hata Kwa vichekesho na vionjo.

5: Nidhamu na kuzingatia maadili. Hakikisha skendo za kipuuzi puuzi hufungamani nazo. Vile vil kuheshimu watu wanaokuzunguka bila kujali kipato, elimu, wadhifa na muonekano.
 
1: kujitoa katika baadhi ya matukio yasiyo ya faida Kama kanisani, misibani na ndoa za kawaida. Yaani ufanye Bure Ili uonekane.

2: Connection na watu mbalimbali ambo huwa kwenye kamati za maandalizi Ili upendekezwe.

3: Mtaji, hakikisha una Mtaji wa kujiweka nadhifu hasa mavazi( suti) ya kutosha. Sio Kila sherehe nguo zile zile.

4: Ubunifu, lazima kuwa na vitu vipya Kila tukio sio misemo na mifano inakua Ile Ile na style Ile Ile. Usitabirike na hakikisha unacheza vizuri na hadhira yaani iwe active muda wote hata Kwa vichekesho na vionjo.

5: Nidhamu na kuzingatia maadili. Hakikisha skendo za kipuuzi puuzi hufungamani nazo. Vile vil kuheshimu watu wanaokuzunguka bila kujali kipato, elimu, wadhifa na muonekano.
You killed it, bravo kwako💥💥💥💥 nasubiri wengine waje kutoa ufafanuzi kwenye kuratibu/kupangilia matukio na kujifunza kwa MC's wengine walio tangulia kabla he/she hajawa MC.
 
Back
Top Bottom