The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mbu huyu Shehe ana lake jambo kwa kweli...tatizo ni kwakuwa shehe kasema?
...nawashauri mumsikilize tena kwa makini, mtafakari na muelewe, (unless tatizo
litakuwa lugha.)
Shehe kwenye ufafanuzi wake amesema mke hapigwi!
(mume) Ataruhusiwa kupiga (as a last resort!) baada ya kumkanya, kumuonya, na kumtishia
pale tu mke atapomnyima unyumba (waliopo kwenye ndoa mnajua sio ajabu kunyimana unyumba)
fikiria Kupiga bila kupitiliza, kuumiza au kutoa alama, kuna maana gani kisha tujadili.
kwa mtaji huu,ndugu zangu wa kule,Eti unaruhusiwa kumdunda waifu akikunyima tu, baaaaaaaasi
Tena bila kuinua mkono juu, bila kumfanya akose raha na tena isiwe kichwani. Its Forbidden!!!!!
Nje na hapo, HURUHUSIWI HATA KUMTISHA . . . achilia mbali kumpiga kabisa.
Mtangazaji amebaki ameduwaa tu, haamini!!!!!!!!!!!
yaani ukinipiga kesho tena nakunyima
...tatizo ni kwakuwa shehe kasema?
...nawashauri mumsikilize tena kwa makini, mtafakari na muelewe, (unless tatizo
litakuwa lugha.)
Shehe kwenye ufafanuzi wake amesema mke hapigwi!
(mume) Ataruhusiwa kupiga (as a last resort!) baada ya kumkanya, kumuonya, na kumtishia
pale tu mke atapomnyima unyumba (waliopo kwenye ndoa mnajua sio ajabu kunyimana unyumba)
fikiria Kupiga bila kupitiliza, kuumiza au kutoa alama, kuna maana gani kisha tujadili.
unajua hali imebadilika sana pauline, unaomba unanyimwa hvhvmpige,:happy:
kama una ubavu lakini...:happy:
Lakini na wewe masa ulikua unatafuta nini hadi ukapata hii clip??Nimekutana na hii Clip nimecheka sana!
yaani ukinipiga kesho tena nakunyima
Sheikh amenichekesha sana, lakini pia ametoa somo zuri sana, usipige kichwani, usimtoe alama, usimfanye awe mbaya nk... Bongo watu wanadunda wake zao hadi wanawatoa macho aisee, AIBU
Ila sheikh naye mhuni sana, ati anasema akikunyima unaweza ukamla kichapo, sasa ukishapiga si ndio hupewi kabisa mchezo aisee??? nimependa msisitizo pale alipokua anasema akikunyima... where esle could the husband go???
hahahahah
Mimi nasubiri tu hizo comments.. Very interesting.... the clip na comments of course....
mchungaji anataka kunigombanisha na mkoloni sasa.... maana nimecheka na kushindwa kujizuia aiseeRafiki acha uchoyo.
Mchungaji Masa. Leo umefanikiwa kunichekesha. Nimecheka kama zuzu....khaaaaaaaaa!
ndio maana kuna mafunzo ya namna ya kupiga, waswahili ni migumi na miteke... sheikh katoa somo, sasa ni busara zetu kung'amuaHakuna kipigo kisicho na majeruhi, waweza mpiga chn ukamchubua, ukamvimbisha juu, nk jamani wachangiaji hamlioni hilo?
mchungaji anataka kunigombanisha na mkoloni sasa.... maana nimecheka na kushindwa kujizuia aisee
tafsiri ya uswahilini wanakwambia "chapa ilale"