Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What a candid and wonderful message! Elimu ya Tanzania miaka ya tisini sasa ndiyo inayoua Taifa linaloitwa Tanzania leo.
Hapo kwenye HUMANITY DIES na kwenye MONEY LOST
Hapo kwenye HUMANITY DIES na kwenye MONEY LOST
Nafkiri ni sisi wanachi wenyewe tunajiendekeza ivi unaendaje kusali kanisa la Gwajima kama sio ikili mbovu jitu jongo unalisikia kabisa halafu J'pili unalipelekea sadaka na kwa heshima huku unamwita eti, Baba askofu akuombee !!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chama Cha Majizi unaona kabisa miaka 60 hakuna jipya leo wanafikka kukwambia hakuna haja ya katiba mpya na ulishawahi kumsikia Babu yao anakwambia hii katiba akija chizi utawaumiza halafu unakausha koo kabisa eti Chama Cha Mjambazi Oyeeee ... du!! Kaaazi kwelikweli
Huo ndio ukweli.
Engineer niko hapa, mnasemaje hapa, si niko vzr eeh?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1972618
Unforgettable
Mkuu chukuwa maji moja kubwa hapo kwa bwashee nalipia fasta 🤣 🤣Hapo kwenye HUMANITY DIES na kwenye MONEY LOST
Nafkiri ni sisi wanachi wenyewe tunajiendekeza ivi unaendaje kusali kanisa la Gwajima kama sio ikili mbovu jitu jongo unalisikia kabisa halafu J'pili unalipelekea sadaka na kwa heshima huku unamwita eti, Baba askofu akuombee !!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chama Cha Majizi unaona kabisa miaka 60 hakuna jipya leo wanafikka kukwambia hakuna haja ya katiba mpya na ulishawahi kumsikia Babu yao anakwambia hii katiba akija chizi utawaumiza halafu unakausha koo kabisa eti Chama Cha Mjambazi Oyeeee ... du!! Kaaazi kwelikweli