How to go about enjoying JF with "mates"/members with comparable level of thinking

How to go about enjoying JF with "mates"/members with comparable level of thinking

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Unaweka thread/post, "vitoto" vinavamia na matusi juu. Kupunguza matatizo hayo, weka thread, BLOCK any one with abusive language. Unabaki na watu wachache ambao mnaweza mka discuss issues on the same level of thinking!
Hili ni tatizo sugu sana hapa JF, badala ya mtu kujibu hoja anaanza kutukana,- character assassination type of argument.... ad hominem argument

Kumbe leo ni Nane Nane!!!!!!
 
Nairaland Forums ya bwana Seun Osewa ni zaaidi ya JF kama si Africa nzima kwa kutupiana matusi/dhihaka/kejeli na mengine kibao:
 
Nairaland Forums ya bwana Seun Osewa ni zaaidi ya JF kama si Africa nzima kwa kutupiana matusi/dhihaka/kejeli na mengine kibao:
nitupie link please just to explore
 
Sasa tuje kwa maada yako:Sabubu zipo nyingi,Mosi Huenda post/thread inaajenda fiche au ipo chini ya tafakuri/hojaji,Pili Huenda post thread inapropaganda,Tatu Huenda ugumu wa maisha unaleta changamoto nzito,Nne Baadhi watu hupenda/hufurahi kuvuruga mtu kwa namna yoyote ile. Tano- Ukosefu au uchache wa maarifa,taarifa na critical thinking katika mambo mbalimbali au field husika.
 
Sasa tuje kwa maada yako:Sabubu zipo nyingi,Mosi Huenda post/thread inaajenda fiche au ipo chini ya tafakuri/hojaji,Pili Huenda post thread inapropaganda,Tatu Huenda ugumu wa maisha unaleta changamoto nzito,Nne Baadhi watu hupenda/hufurahi kuvuruga mtu kwa namna yoyote ile. Tano- Ukosefu au uchache wa maarifa,taarifa na critical thinking katika mambo mbalimbali au field husika.
all is possible!
 
Back
Top Bottom