How to handle an ear

How to handle an ear

Baba mlezi

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
237
Reaction score
48
Jamani wanajukwaa naombeni msaada wenu,wakati nasafisha sikio kwa kutumia zile pamba za masikio,bahati mbaya kile kipamba cha mbele kimechomoka na kubaki kwenye sikio,ishu inakuja kwenye kukitoa.Je ile pamba yaweza kkuwa na madhara makubwa kwa sikio?
 
Back
Top Bottom