how to heal from a breaking relationship?


Ni kweli kabisa inategemea sana jinsi gani huyo mtu alikuw a moyoni kwako, ni jinsi gani ulimpenda, mda mliopoteza.

Time heal, but it may take long time hata kama unajichanganya.
 

too philosophical ma bro. ila kwakua am a teacher nimekuelewa sana tu. dogo kip it u. haya wataka kula nini leo?
 
but Tuko ana point koku ishu ni kwamba kaipresent kimasihara sana lakin alilenga kuwafundisha watu kuachilia utabeba vingapi moyoni mwako jamani?

Unaona sifa mwenywe kuongea uloomgea.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli kabisa inategemea sana jinsi gani huyo mtu alikuw a moyoni kwako, ni jinsi gani ulimpenda, mda mliopoteza.

Time heal, but it may take long time hata kama unajichanganya.

lakini koku wafikiri kama imeshafika mwisho utafanya nini? lazima uadmit matokeo kisha ufikiri njia ya kutokea kuish kwa kusononeka na maumivu ni kutaka kufa kama laivyosema platozoom
 
Last edited by a moderator:
Duh gfsonwin mie ngoja niwe msomaji tu,i won't live a lie bwana kwangu mie naona dunia sio fair kwa upande wangu but am trying hard to think otherwise.Thanks for this thread.
 
Madam X i salute you.

Kaeni na stress zenu, wao wanaenjoy wewe unakufa kihoro. How stupid are we? Lia sana, piga kelele, anza maombi kwa kwena mbele uone kama utamkumbuka. Nyumba, mashamba ni vitu vinapatikana ukijipanga.

Chukua hatua! lol
 
Enough time ni how much time?

Kama unaamini juu ya true love, mliyebreak naye ndio alikuwa the one. Do u think it is easy to replace ur true love?

Again, nasisitiza tumeumbwa tofauti. Hata bila ya kuumizwa kuna watu wako open kwa wengine, wengine wako peke yao.

Pia sababu ya kuvunjika kwa uhusiano unahusu sana; for me kuna impossible love niliyoivunja mwenyewe. It took years to forgot. Kuna nyingine which was abusive relationship, l was happy to break it na sikubaki na majeraha. The rest ni simple affairs ambazo hauzitilii maanani.

Kuachwa ni kitu kingine, ambacho sina uzoefu nacho sana. But l can imagine how painful it can be kuachwa na love of ur life.

Utatamani usisikie chochote kuhusu mapenzi; n that reminds me of Tony Braxton song "another sad love song" (@BAK chaguo la msikilizaji tafadhali)
 


Nakubaliana na wewe kwa vipengele hivyo ulivyovitaja. Baada ya kutendwa huwezi tu kukurupuka na kuanzisha mahuisano na mtu ambaye humjui hata kidogo....lazima uwe umemzoea vya kutosha ndipo uamue kuanzisha uhusiano naye kwani aliyeng'atwa na nyoka akiguswa na jani huruka sana.
 
lakini koku wafikiri kama imeshafika mwisho utafanya nini? lazima uadmit matokeo kisha ufikiri njia ya kutokea kuish kwa kusononeka na maumivu ni kutaka kufa kama laivyosema platozoom

Matokeo utayaadmit, lakini kwa wengine kumuondoa mtu moyoni is a big issue. Watu wanapenda bwana 100% in love, yeye hajiachii hata % moja.

Kwa hali hiyo lazima aje ateseke sana. Kwenye mapenzi jipe 50% na yeye mpe 50% ili ukiachwa uone kawaida.
 
Matokeo utayaadmit, lakini kwa wengine kumuondoa mtu moyoni is a big issue. Watu wanapenda bwana 100% in love, yeye hajiachii hata % moja.

Kwa hali hiyo lazima aje ateseke sana. Kwenye mapenzi jipe 50% na yeye mpe 50% ili ukiachwa uone kawaida.

ndiyo maana jana HorsePower aliongelea maumivu ya mapenzi nikamwambia ishu ni kwamba watu huwa wanapenda kiisia zaid kuliko kiuhalisia.

to me penda kwa akili na mara nyingi sana wanawake ndo wahanga wa kupenda kwa hisia yaani kila penzi mnalikaribisha na kuliingiza moyoni aisee mim ni tofauti sijawah kuingiza moyoni huwa yanaishia akilini tu so napenda kiuhalisia na siku zote panapotatizo akili huchukulia kama changamoto.
 
Last edited by a moderator:


ndiyo maana jana HorsePower aliongelea maumivu ya mapenzi nikamwambia ishu ni kwamba watu huwa wanapenda kiisia zaid kuliko kiuhalisia.

Tupo pamoja...
true love ni mwanao na wazazi wako, mwingine yeyote ni kujidanganya.

Akikuletea za kuleta anza mbele kabla hajakuprovoke akuburuze kwa gari kama Nasra hadi ufe.
 

Ni kweli kabisa uliyoyasema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…