How to look Fashionable and Stylish

Mi nafanya Fashion so kama na some tips na Share ili kusaidia ama kujuzana Na kupeana taarifa How to Dress and Specific area ya kuvaa aina flan za nguo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiomaana nikalenga kwanza Winter season namna unaweza ukavaa kwasabu hata baazi ya maeneo ya joto kuna vpind pia vya barid ko That i mean(WINTER SEASON FASHION)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba uje na mbinu za kuvaa suruali za kitambaa. kuna wengine tunazuiwa na "dress code" tunavaa mavazi ya aina flani pekee
 
Bryson Thomas,
Hongera mkuu, naona umekoga!!


kukoga ni kuvaa na kupendeza, hii ni tafsiri ya huku kwetu boko mnemela.
 
Umevaa rangi nyingi saana
Nyekundu
Nyeupe
Khaki
Brown.
 
Sio mbaya lakini ungeweka zaidi hilo koti lingekuwa jeupe na hiko kiatu kingekuwa cheupe pia maybe Air Force nyeupe plain au yenye tik nyekundu iliopita kati.
 
Where all gut from to put thy picture, we ain' t all sharing same atmosphere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…