Hii yooøoote, kisa kumlidhisha mwanamke!!! Hivi, hawa wadada/mama wanajua jinsi wanaume wanahangaika juu ya k* zao!! Eee mola tunusuru!! However, pamoja na yote ya docta mtoa mada, usisahau kuwa PSYCHOLOGY NDO INA MATA! Uki-percieve inferiority, kila siku utakuwa mtu wa kubadilisha na kutumia dawa!! Hebu jiamini unaweza, kula msosi wa uhakika, then start to practice! Ilazimishe akili yako usiwahi kumaliza!! Kila kitu kinaendeshwa na ubungo na jinsi unavyojiaminisha!