Nawapongeza wanigeria kwa chat up lines zao ,inasadikiwa huko ulaya na Marekani wengi wao wanapeta na wasichana kutoka Bongo ,baada ya kuona hii clip najiuliza hivi ndivyo wanavyo wazowa wasichana wa kibongo?
Nawapongeza wanigeria kwa chat up lines zao ,inasadikiwa huko ulaya na Marekani wengi wao wanapeta na wasichana kutoka Bongo ,baada ya kuona hii clip najiuliza hivi ndivyo wanavyo wazowa wasichana wa kibongo?