How to raise capital for startups business[emoji780]

Joined
Nov 16, 2016
Posts
6
Reaction score
8
Tusaidiane hapo ndugu zangu, kila mwenye mawazo tofauti…[emoji101][emoji101][emoji101]
 
Mpambanaji katika jambo lake lolote likasimama nadhani anamajibu mazuri zaidi na mifano mingi katika kulielezea jambo husika…[emoji1431]
 
Mbona unaleta utoto kwenye uzi wako mwenyewe?
 
Muulizaji siku zote ni kujua ndio dhumuni, pale tu mtu mjuzi anapotoa jibu pengine linakuwa msaada kwa wengine kupata kujua. Tatizo mtu ana judge kwa kutumia level yake ya akil kwa mtu mwingine…hapo unakuwa umechanganya pilipili na tende kutengeneza achali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…