The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,092 Mar 2, 2012 Thread starter #181 klorokwini said: Yaani haumuamini mkemia mkuu wa serikali? Hii post yako inaweza ikasababisha TZ kuzuiliwa misaada. Edit Click to expand... Kwa hali hiyo ongea basi na PAW na mimi nipewe U-PREMIUM MEMBER basi kwenye kura za maoni za wewe kuwa MOD wa Jukwaa La Jokes sitakuangusha
klorokwini said: Yaani haumuamini mkemia mkuu wa serikali? Hii post yako inaweza ikasababisha TZ kuzuiliwa misaada. Edit Click to expand... Kwa hali hiyo ongea basi na PAW na mimi nipewe U-PREMIUM MEMBER basi kwenye kura za maoni za wewe kuwa MOD wa Jukwaa La Jokes sitakuangusha
klorokwini JF-Expert Member Joined Dec 2, 2009 Posts 8,647 Reaction score 5,145 Mar 2, 2012 #182 The Finest said: Kwa hali hiyo ongea basi na PAW na mimi nipewe U-PREMIUM MEMBER basi kwenye kura za maoni za wewe kuwa MOD wa Jukwaa La Jokes sitakuangusha Click to expand... Mobile ya PAW imeibiwa, anakichanga hata cafe haendi, acha nitume ujumbe keriofu.
The Finest said: Kwa hali hiyo ongea basi na PAW na mimi nipewe U-PREMIUM MEMBER basi kwenye kura za maoni za wewe kuwa MOD wa Jukwaa La Jokes sitakuangusha Click to expand... Mobile ya PAW imeibiwa, anakichanga hata cafe haendi, acha nitume ujumbe keriofu.
nemic4u JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 445 Reaction score 300 Mar 2, 2012 #183 Dunia ya leo ukisubiri kuridhishwa mbona utasubiri saaana, cha msingi mwanamke au mwanaume jitambue wewe ni nani na unataka nini kwenye haya maisha then ujiridhishe mwenyewe sio kusubiri cjui kina nani huko wallahi utasubiri mpaka mwisho wa dunia!
Dunia ya leo ukisubiri kuridhishwa mbona utasubiri saaana, cha msingi mwanamke au mwanaume jitambue wewe ni nani na unataka nini kwenye haya maisha then ujiridhishe mwenyewe sio kusubiri cjui kina nani huko wallahi utasubiri mpaka mwisho wa dunia!